Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Kia tulidanganywa wanapima corona, si kweli nahisi wanapima joto tu. Yule dada alipita Kia vipimo havikuonesha, kwa roho yake nzuri alijisalimisha hospitali mwenyewe, na tayari keshakutana na watu wengi, na hatuna vipimo, vipo dar tu. Wageni bado Wanaingia na Kia bado hatuna vipimo.

Tulinde wazee wetu jamani, corona itasambaaa Sana Mana hatuna vipimo,uganda wapo vizuri, ndege ikiingia karantini siku 14 hutaki rudi kwenu.
 
Serikali inaficha jina la hotel wakati alipofika Kuna watu walimhudumia kwa kushikana naye mikono kumbebea mizigo
 
Serikali inaficha jina la hotel wakati alipofika Kuna watu walimhudumia kwa kushikana naye mikono kumbebea mizigo
Mbona mkuu wa mkoa aliitaja kuwa ni Temi sijui nini Villa huko. wameitaja bwana.
na jina la mgonjwa ndie Da Isabela Mwampamba mmiliki wa shule sijuni nini hukooo friends, ni mkazi wa Sakina karibu na msikiti sijui na karibu na wapi tena hukooo. Nimechoka mie. Hivi hizo mask ni bei kwani?
 
Bahati nzuri uongozi wa Mkoa wa Arusha umeshachukua hatua za kuiweka hotel hiyo katika uangalizi maalum. Nadhani wataanza na wale waliompokea huyo dada maana inawezakana wakawa nao ni wahanga
 
computerarsenal,
Hivi wewe unakielewa ulichokiandika? Narudia kusema Corona virus na virusi vya mafua flu hawana tofauti. Kinachokusumbua wewe hata mafua huyajui kuwa haina dawa au huyajui kuwa inasababishwa na virusi. Wazungu wanaogopa magonjwa, ungekaa au kuishi na wazungu ungewaelewa vizuri sana

Coronavirus is highly overrated. Mortality rate 3-5% mainly 3% na hao 3 wanaokufa Katika 100 ni wale wenye weak immunity, wazee.

Ukipatwa na Corona ukawahi kuzuia usipate Neumonia wewe ni mzima wa afya. More than 80% ya wagonjwa wa corona wanapona hata bila kutibiwa. Huko Ulaya unakosema mwezi ujao mambo yatarudi kawaida.

China sasa hivi wanaendelea na Maisha kama kawaida sisi wabongo tumebaki kuwehuka kwa sababu ya media ya wazungu kama vile hatuzifahamu.
 
Watu wengi hawana taarifa za kutosha kuhusu magonjwa ya virusi ikiwemo corona
Wagonjwa wengi wa corona wanapona wenyewe
3% ya wanaokufa ni uzembe na weak immunity
kwa takwimu hizi hazina tofauti na mafua kali au flu
 
Wapi huyo mama alikiri kwamba katoka kwenye nyumba iliyokua na mgonjwa?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sijui nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…