Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Km unaweza kupimwa na isionekane wangapi wanayo lkn haikuonekana wakat wanaingia nchini?

Hii hatar sana...
 
Hapa dawa yake ni kufunga mipaka
Yote,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tamko la Mboye limewatoa pangoni mikutano ya kisiasa kushinei
unamaanisha mbowe na chadema yake serikali na ccm wanamuogopa maana nusu saa mbowe kawaambia wanachama wake watafanya mikutano kwa lazima nusu saa tena baadae ummy anatoa tahadhari coona imeshaingia tanzania
 
Kumbe watu mko waoga eeh 🤣

Majuzi hapa kuna watu walikuwa wanajidai eti corona ni mafua tu.

Sasa hivi washaanza kujiharishia baada ya kusikia kirusi kishatia timu.

Kwanza si ajabu kilikuwepo muda wote tu ila watu hawajui.
Watu wanashangaza sana, walikuwa wanasema humu, mara mtu mweusi kuogopa mafua ni uzembe.

Sasa kimetangazwa watu wamepanic kama wote.


Beggars can't be choosers
 
Baada ya mbowe kutangaza atafanya mikutano ndio mnatangaza Kuna mgonjwa wa korona?
 
Sasa si tutengane mikoa hii? wa Arsuha arusha, hakuna kutoka, au mpaka wasambaze, ila ni too late, wapuzi hawa walishaambiwa wazuie ndege kuja nchini hawasikii.
Ona sasa kishanuka.
 
Hii story ya ummy imekaa kiuongo uongo kabisa.
Kwanza why vipimo vya airport visisome na mtu amejihisi kabisa
Halafu after few hours hospital nyingine ndo ione tatizo lake
So inamaana kuna ambao hvy vipimo vya airport viliwaacha wapite na ni wagonjwa??? Ina maana hhvy vipimo ni magumashii??
Hii habari ni ya uongo 100% ni tangazo la kisiasa. Ukitaka kujua hilo subiri ifike mkutano wa mbowe watasema hakuna kukusanyika kisa korona. But makanisani watu wataenda misikitini wataenda na mzee baba atawakusanya atawahutubia....hapo ndo mtajua kuwa hii ni kamba km ya dokta shika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…