Vida1
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 538
- 1,539
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao waliobaki China wamebakije?Tuwafungie hata watanzania walionje ya nchi? Nimeenda Malawi muda wa kukaa umeisha hivyo nibaki Malawi?
Wote hao jiwe ndie anaewapa maelekezo, inaitwa one man show, so anaetakiwa kuwajibika zaidi ni mr jiwe.Hebu tusihamishe magoli hapa, kuna watu wanapaswa wawajibike, huyo mgonjwa aliingia na hakuwekwa karantini, kama angekaa karantini tusingekuwa tunamzungumzia leo. Watu wanafanya kazi kwa mazoea, uongozi wa airport uwajibike, waziri wa afya awajibike.
lakin sisi watanzania kwa hali ya sasa tutakufa kama nzige kwa maana nafasi tulikuwa nayo ya kuzuia na tumeichezea.Bongo kitambo wanatuzuga hawa CCMView attachment 1390029
Mungu hajawahi kunusuru mtu. Kama ana huo uwezo wa kunusuru watu asingeruhusu vifo vya watu zaidi ya 5000 ambao wameshakufa mpaka Sasa kwa corona na wengine walikuwa hawana hata hatia Kama watoto Tena vingine vichanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijipeleka baada ya kujihisiHawawezi funga na hivi si umesikia mgonjwa alijipeleka mwenyewe hosp so angeamua kukausha mpaka sasa hivi ingekua Tanzania haijaingia Corona
Well said,maana kuna watu hapa wanakuwa kama wamepata sababu ya kuilaumu serkali,wakati serikali iko kuhakikisha nchi inakuwa salama,tuwe watulivu,huku tukisubiria tamko la serikali ni jinsi gani tuendelee kuchuka tahadhari badala ya kutoa lawama...Sawa ndio mgeni CORONA keshaingia Tanzania.Lakini nafikiri hatutakiwi kupanic.Maana HAMAKI ni mbaya kuliko ugonjwa wenyewe.Tuendelee kujikinga huku tukiomba hili nalo lipite.Mbona hata EBOLA ilitingisha lakini nayo ilipita.
Mungu ibariki Dunia
Mungu ibariki Africa
Mungu ibariki Tanzania.
Lakn na huyo Marekani si ashapata wagonjwa??Hatari.
Wakati wengine wanazuia watu kuingia nchini kwao nchi kubwa kama Marekani sisi tukajidai eti tuna vipimo uwanja wa ndege, marekeni wao hawana vipimo uwanja wa ndege? Marekani alizuia watu kutoka ulaya kuingia kwake sisi tukajifanya tuko vizuri kuliko Marekani.
Ccm hawana malengo mazuri na afya za watanzania. Sasa subiri tuipate fresh.
Wenzetu kila anaeingia toka nje ya nchi huwekwa karantini siku 14 hadi hali iwe sawa, sisi watu wanaibuka wakipimwa airport hakuna dalili wanaondoka kwenda makwao. Ni cases ngapi zimetokea kama za jana? Maana bado watu wako kwenye window period. Ulaya ni risk area watu wanatoka huko tunawaacha tu bila kuwaweka kwenye karantini.
Tulichokua tunakitafta tumekipata
Mpumbavu weye nawe unatoa wasaa!Kupitia hili tangazo na comments za wanajf, nimegundua kati ya forums zote duniani,hii ni forum ambayo imejaa watu wanapenda kuchukulia mambo kisiasa zaidi.Mbaya zaidi kuna kikundi cha watu wapumbavu na hayawani wanaodhani Covid-19, ipo kwaajili ya kuwakomboa wao,na kutimiza matakwa yao ya kisiasa.Watu wa aina hiyo wanaofurahia utawapata Jf tu, na sio kwenye platform nyingine za kijamii.Narudia tena Huo ni upumbavu na upunga wa hali ya juu.Na kama haya madudu mnayo yaandika humu, ndo yale yaliojaa mioyoni mwenu,Anapokaa sizonje mtapasikia tu.
Yametimia sasa
Lakini kama haujafa utaona tu.
Suala hili la COVID-19, halina mtu wa kulaumiwa.
Hasira na woga, hazitafanya lolote lile kwenye hili tuepuke.
Huu virusi hivi vinaambukiza bila hata dalili yoyote kwa muathirika. As a matter of fact, kama una afya njema unaweza ukaambukiza wengine bila kujua mwenyewe kama ulikuwa nao.
Airport za mataifa yote duniani zinapima dalili tu kwanza, ndio maana wanashauri watu wanaojihisi kuumwa baadae, waji-isolate. Upimaji wa virusi wenyewe hufanyika katika maabara chache zilizotayarishwa. Hivyo wanadhaniwa peke yake ndio hupimwa. And this is world wide; due to unlimited resources. Kuna nchi kama S.Korea wamejitahidi kidogo kwenye upimaji, containment haijawezekana.
Kwa lugha nyepesi, haiwezekani kuzuia ugonjwa huu kuingia katika nchi yoyote ile unless mmejifungia na mmesimamisha shughuli zoote; which is realistically impractical.
Yaani, kinachofanyika na nchi zote duniani ni kufupisha uharaka wa maambukizi; ili huduma za kiafya zisizidiwe.
Maana hata nchi zenye huduma za kiwango cha juu, hazina uwezo wa kuhudumia mlipuko wa uambukizaji wa haraka namna hii.
Ndio maana hakuna nchi tajiri iliyoweza kuukwepa ugonjwa huu.
Acha niuseme ukweli:
People will die.
Most will survive.
Hatukuwa tayari (kidunia) ku-face epidemic(now pandemic) ya namna hii.
Pray, kwa sababu there will be tears.
Sent using LF Electromagnetic Waves
Alipimwa KiaDaaah! Kapimwa kakuta hana akaamua yeye mwenyewe kujiweka karantini
Ni mtanzaniaWengine walikuwa wanapiga marufuku watu kuingia nchi zao.
Sisi tunaleta ujuaji.
Imekula kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya comment bora kabisa, tulichopanda ndo tumevuna. Wenzetu uwanja wa ndege watu wanawekwa sehemu maalumu kwa wiki mbili then ndo waruhusiwe waondoke.Ummy anajipa moyo ati ni imported case. Kwani ugonjwa ungefika vipi bila ya kutoka nje ya nchi.
Maonyo yote hawakuyasikia sasa majuto ni mjukuu.
Ati sasa wakawatafute waliokutana na mgonjwa. Si hao tu hata na waliokutana na waliokutana na waliokutana na... ... waliokutana na mgonjwa. Hiyo chain ndiyo inawapa taabu ulaya.
Acha tuone sasa sote yetu macho.