herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
upo Wright kabisaBinafsi tukiacha ushabiki... Naona kuvaa mask kunasaidia kuzuia maambukizi pia, unapovaa mask sio rahisi kushika mdomo, au pua hata ikitokea umegusana na mwenye ugonjwa kwa mikono... Labda uguse macho ambapo pia nimeona kuna waliovaa miwani.
Kwahiyo pamoja na kwamba hiyo mask haizuii maambukizi kwa njia ya hewa... bado inakuwa na uwezo wakuzuia kwa njia ya kugusana.
Hivi mtu akipiga chafya ukarukiwa na vile vi droplets (chembechembe) za chafya itakuaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama sio mwanzo wa coronazation
Sent using Jamii Forums mobile app
jaman kuna mambo sio kuchukulia usiliasi kiivyo some it's just entertaining elimu ishatolewa kila mtu anajua n lipi la kufanya ko me sioni kosa kwa steavenWakuu
Kama wasanii hawana uelewa juu ya corona vipi mwananchi wa kawaida huko kijijini?
Kama msanii analeta mzaha kwa kuvaa sidiria tena anaigeuza mask unadhani hapo kweli kama nchi tuna wasanii au vituko?
Wengi wa hawa wasanii nilichogundua wako nyuma ya wakati na wengi wao hawazielewi hata tips za ugonjwa wenyewe.
Ni rahisi kumtumia vyovyote utakavyo msanii wa Tanzania kwa sababu wengi wao hawajielewi naanza kuamini maneno ya Mbunge Msigwa kuwa hawa jamaa hawana impact yoyote kwenye jamii na kama wana wafuasi kwa akili zao basi wafuasi wao wana hali mbaya kifikra.
Sent from my iPhone using JamiiForums