Jiwe hana pesa, anachowaza ni pesa tuuuuuuu, sasa tutaisha na pesa ataikosa ataongoza wafuKwani kasema yeye binafsi hajilindi!? Tunataka kuona serikal inawajibika kwa upande wake lkn sio kupiga propaganda majukwaani. Serikal za nchi zingine zinaagiza chanjo kwa sasa, swala la kujua chanjo ni salama au la ni la serikal yenyewe. Kama inashindwa kutambua chanjo ni salama basi haina uhalali wa kuendelea kuwepo madarakani. Au tuamini yale wasemayo baadhi kuwa serikali haitaki kutoa pesa?
Ni sauti ya walikuwa na sautjwewe baki nyumbani kwani unalazimishwa kutembea ukifa asala yako au ya jiwe mbona mnakua na akili ya nyumbu jiwe mnaona alisomeki afu mnaanza kulalamika .STAY HOME.
Kwa hiyo wwe unataka Nchi yote ipigwe lockdown!? Mi naona hivi, tuendelee hivi hivi,ukitaka vaa Barokowa wwe vaa, na Kama uchumi unakuruhusu pia waweza jipiga lockdown wwe na watu wako unaoweza kuwapa amri Kama Watoto wako!! Mwisho wa siku Maisha lazima yaendelee kwa hali yoyote ile tunaopitia kama Wanadaamu!!Acha kujitia ujuaji wakati mwenye akili za ng'ombe ni wewe! Hivi katika mazingira haya ng'ombe wewe, walio hatarini wajiepushe vipi?..
BOT imehamia Dodoma lini? Makao makuu si yako Dar es salaam? Anakuwaje Mhasibu mkuu Dodoma wakati makao makuu yako Dar es salam ambako ndiko mhasibu mkuu anapaswa kuwapo? Huyo hakuwa kigogo wala mhasibu mkuuJana tumemzika kigogo wa BOT (Joachim Sayi Nsunga) RIP, huko Dutwa Bariadi, Simiyu. Huyu bwana alikuwa mhasibu mkuu BOT makao makuu, Dodoma.
Sasa wwe Kama huwazi pesa si ujifungie zako ndani,kwani shida hapo iko wapi!?Jiwe hana pesa, anachowaza ni pesa tuuuuuuu, sasa tutaisha na pesa ataikosa ataongoza wafu
wewe baki nyumbani kwani unalazimishwa kutembea ukifa asala yako au ya jiwe mbona mnakua na akili ya nyumbu jiwe mnaona alisomeki afu mnaanza kulalamika .STAY HOME.
BOT imehamia Dodoma lini? Makao makuu si yako Dar es salaam? Anakuwaje Mhasibu mkuu Dodoma wakati makao makuu yako Dar es salam ambako ndiko mhasibu mkuu anapaswa kuwapo? Huyo hakuwa kigogo wala mhasibu mkuu
Mleta mada muongo
Hali ya hewa ya baridi ni rafiki kwa virus husikaHizo barakoa huko zinapotengenezwa.
Huu ugonjwa unawatesa vibaya mnoo.
Na barakoa wanatengeneza wenyewe
Maisha ni wewe mwenyewe. Hakuna wakukuambia fanya mazoezi au kula hiki au kunywa hivi. Ni wewe tu ujipiganie mwenyewe...
Kwani kasema yeye binafsi hajilindi!? Tunataka kuona serikal inawajibika kwa upande wake lkn sio kupiga propaganda majukwaani. Serikal za nchi zingine zinaagiza chanjo kwa sasa, swala la kujua chanjo ni salama au la ni la serikal yenyewe. Kama inashindwa kutambua chanjo ni salama basi haina uhalali wa kuendelea kuwepo madarakani. Au tuamini yale wasemayo baadhi kuwa serikali haitaki kutoa pesa?
Mkuu hayupo mwenye uelewa aliye kaa kusubiri juhudi za serikali ya jiwe na kudra za mwenyezi Mungu pekee. Hivi sisi ambao haya ya mikusanyiko pia yanatuhusu:
View attachment 1702714
Nayo tunaiepuka je ndani ya mazingira magumu ambayo serikali inatuwekea?
Mkuu, kuchukua hatua mtu mmoja mmoja tatizo lake ni kuwa ugonjwa wa kupumua utapanua wigo na utaweka kambi ya kudumu nchini.Mkuu, hii ni vita ya mtu mmoja mmoja japokuwa ni vita ngumu...
Mkuu, kuchukua hatua mtu mmoja mmoja tatizo lake ni kuwa ugonjwa wa kupumua utapanua wigo na utaweka kambi ya kudumu nchini.
Kukiwa na mapambano ya wengi dhidi ya huo ugonjwa, utatokomezwa fasta
Kwa hiyo ww huvai barakoa, hujitengi na mikusanyiko isiyo ya lazima!!!Kaulize Dutwa kwenye msiba wa kigogo huyu.
Uliza kote nakopita.
Nimepaza sauti dhidi ya gonjwa hili baya kuliko jina lako tangia day 1:
Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona
Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini. Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono. Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako...www.jamiiforums.com
Ulipendelea nipazie wapi ili usikie wewe?
Mi nakushauri wwe beba wapendwa wako mkaishi huko unakoona Serekali zao zinachukua hatua sahihii kwenye ugonjwa wa Corona,msije mkafa bure alafu mkailaumu Serekali ya Magufuli bure!!Ninakushukuru sana kwa mchango wako na kujali kwKo. Nipende kukufahamisha kuwa ninayapambania maisha yangu na ya wapendwa wangu kweri kweri (in jpm's words).
Ninalalamika hivi kwani ninaona wazi kuwa pamoja na jitihada zangu binafsi mimi na wapendwa wangu, tunalipa tunasokomezwa kwa makusudi kunako kifo pasipo kuwa na uhalali wowote. Kama hivi:
Ninajinasua vipi na wapendwa wangu kwenye hili. Ni wazi kuwa ninaachwa bila njia bali kuukumbatia ushauri kuwa "sasa basi, liwalo na liwe?"
Si heri nife nikipambana na wanaonilazimisha kufa sasa, kuliko kufa sasa kibudu huu nikihangaika kama punda kuwatafutia wao kodi?
Au nasema uongo ndugu zangu?