#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Mizaha na kuchukulia powa mambo kama haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugonjwa ni mpya bado haujapatiwa details za kutosha,
Hiyo tegemea updates nyingi zaidi.
 
nikiwa natoka kwangu kuelekea kwenye mizunguko yangu huwa navaa mask, cha ajabu wabongo huwa wananiangalia kwa jicho kali wakihisi kama najiendekeza au naringa.

yaani huku uswahili kwetu ukivaa kale kamask wabongo wanakuangalia kwa jicho la husda sana.
 
Najiuliza hawa watu milioni 1 walioambukizwa korona WATAPONA KWELI?..
na mwisho wa corona ni lini?.
HUU mwaka watu wengi tuliamini utakuwa mzuri lakini kinachotokea ni balaa NA VILIO.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Wale madokta ni taka taka kabisa. Kirusi kinakaa kwenye hewa na watu wanatakiwa kuvaa mask
 
Kuvaa mask huko Asia ndiyo wamezoa ndiyo maana sasa hawaoni tabu yeyote ila tuliyobakia hali ni tofauti.
 
Huu ugonjwa umepiga dunia bila kujitayarisha.
Mask ni muhimu lakini mask zipo kidogo sana inatakiwa kubadirisha mask kila masaa 4.
Marekani ,Ulaya hawakujitayarisha kutengeneza mask za kutosha walikuwa wanategemea China.
Pia kunahitajika kukinga macho,inaonekana eneo lolote la binadamu lililo wazi ni mali ya Corona virus.
 
hizo mask tukivaaa dunia nzima zitatoshaa?
Ndo maana nchi tajiri Kama marekani zinahangaika kuagiza,kutengeza,kuiba na kudhulumu mask,kwasababu sio ishu ya kitoto hiyo.
Mwathirika akikohoa,virusi vinabaki in aerosol form hewani masaa nane,,maana yake mtu akipita Hilo eneo hata baada ya nusu saa anaweza vuta hivyo virusi.hata asipovuta mtu hivyo virusi vitatua popote na kusurvive kwa masaa kadhaa,
Ndo maana kule Wuhan,walikuwa wanapulizia madawa kila Kona,kila chocho,
 
Mask ndio mpango mzima, China walianza huu mtindo kwa muda mrefu sana kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya kutokana na wingi wao. Je, tutajifunza nini kutoka kwao? Je, viwanda vya Tanzania vipo tayari kuchangamkia utengenezaji wa mask? Hili ni soko kubwa sana huko tuendako.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…