Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Huyo daktari yupo nyuma ya wakati. Udaktari ni fani kama fani nyingine. Kuna madaktari wazuri na wabaya. Wale ambao wana vyeti lakini hawajishughulishi na yanayoendelea Duniani.
Hiyo anayoisema huyo daktari ni falsafa ya mwanzo lakini baadaye WHO wamesema kuwa Covid 19 ni airborne disease. Na kwamba virus wale wakishatoka mdomoni mwa mwenye maambukizi wana uwezo wa kukaa hewani wakiwa wazima na bila ya kuanguka chini mpaka zaidi ya masaa manne.
Huyo daktari, kwenye huu ugonjwa mpya, ana utofauti mdogo sana na asiye na daktari. Yeye na sisi, wote tunafanya kusikiliza kwa wanaofanya utafiti. Hakuna utafiti unaofanyika Tanzania kiasi cha kuweza kusema kuna kitu wamekigundua tofauti na tunavyoelekezwa na taasisi kubwa duniani zinazofanya utafiti kuhusiana na ugonjwa huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo anayoisema huyo daktari ni falsafa ya mwanzo lakini baadaye WHO wamesema kuwa Covid 19 ni airborne disease. Na kwamba virus wale wakishatoka mdomoni mwa mwenye maambukizi wana uwezo wa kukaa hewani wakiwa wazima na bila ya kuanguka chini mpaka zaidi ya masaa manne.
Huyo daktari, kwenye huu ugonjwa mpya, ana utofauti mdogo sana na asiye na daktari. Yeye na sisi, wote tunafanya kusikiliza kwa wanaofanya utafiti. Hakuna utafiti unaofanyika Tanzania kiasi cha kuweza kusema kuna kitu wamekigundua tofauti na tunavyoelekezwa na taasisi kubwa duniani zinazofanya utafiti kuhusiana na ugonjwa huu.
Sent using Jamii Forums mobile app