Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona.
Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi.
Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke.
"Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi nikapime kwa nia njema ili kama ninao nipate matibabu mapema na kuepuka kuwaambukiza wengine.
" Hivyo nilienda hospitali ya Temeke, wakanipima ndipo nilipokutwa ninao na kuletwa hapa Amana ambapo kwa sasa ni moja ya kituo cha wagonjwa,"amesema Pierre.
Alipoulizwa anadhani ni wapi kaupatia, amesema "Huu ugonjwa mimi nitakuwa nimembukizwa nikiwa baa hakuna sehemu nyingine kwa kuwa ndio maeneo yangu ya kujidai,".
Hata hivyo amewapongeza baadhi ya viongozi waliotoa tamko la kufungwa kwa baa na kueleza kuwa hatua hiyo ni nzuri kwa kuwa maeneo hayo watu kuwa makini kujikinga na ugonjwa huu ni ngumu na pia huusisha mikusanyiko ambapo mtu akiwa hajalewa anaweza kukaa mbali na watu lakini pombe zikishamuingia akili hiyo haitakuwepo tena.
Wito wake kwa wananchi ameshauri kuchukua tahadhari ikiwemo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya kama kunawa mikono na maji tiririka,kuvaa barakoa na kuongeza kuwa hata yeye kabla hajaupata ugonjwa huo alikuwa hauchukulii kwa uzito.
" Wananchi nawashauri mchukue tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu, kwani mimi pia nilikuwa nauchukulia kimasihara, lakini sasa hivi kama hivyo nimekuwa mtu wa kukaa ndani, kushinda na barakoa na kulala na barakoa, gambe silipati tena maisha ambayo sikuyazoea, hivyo kinga ni bora,"ameshauri Pierre.
Hali ni tete wakuu....mlioko daslamu msisubiri kupigwa lockdown jiongezeni,na huku "mikoani" hatuwataki😂😂😂
Am sorry..thanks for your concern..nisha edit!Mbona sio jambo la kucheka sasa
Nakuja Mkuu ...usitutisheHali ni tete wakuu....mlioko daslamu msisubiri kupigwa lockdown jiongezeni,na huku "mikoani" hatuwataki😂😂😂
Balaa zitooMCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona.
Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi.
Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke.
"Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi nikapime kwa nia njema ili kama ninao nipate matibabu mapema na kuepuka kuwaambukiza wengine.
" Hivyo nilienda hospitali ya Temeke, wakanipima ndipo nilipokutwa ninao na kuletwa hapa Amana ambapo kwa sasa ni moja ya kituo cha wagonjwa,"amesema Pierre.
Alipoulizwa anadhani ni wapi kaupatia, amesema "Huu ugonjwa mimi nitakuwa nimembukizwa nikiwa baa hakuna sehemu nyingine kwa kuwa ndio maeneo yangu ya kujidai,".
Hata hivyo amewapongeza baadhi ya viongozi waliotoa tamko la kufungwa kwa baa na kueleza kuwa hatua hiyo ni nzuri kwa kuwa maeneo hayo watu kuwa makini kujikinga na ugonjwa huu ni ngumu na pia huusisha mikusanyiko ambapo mtu akiwa hajalewa anaweza kukaa mbali na watu lakini pombe zikishamuingia akili hiyo haitakuwepo tena.
Wito wake kwa wananchi ameshauri kuchukua tahadhari ikiwemo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya kama kunawa mikono na maji tiririka,kuvaa barakoa na kuongeza kuwa hata yeye kabla hajaupata ugonjwa huo alikuwa hauchukulii kwa uzito.
" Wananchi nawashauri mchukue tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu, kwani mimi pia nilikuwa nauchukulia kimasihara, lakini sasa hivi kama hivyo nimekuwa mtu wa kukaa ndani, kushinda na barakoa na kulala na barakoa, gambe silipati tena maisha ambayo sikuyazoea, hivyo kinga ni bora,"ameshauri Pierre.
Karibuni,ila tahadhari muhimu😷😷Tu
Nakuja Mkuu ...usitutishe
AsanteAm sorry..thanks for your concern..nisha edit!
Duhh unasoma na kupata haya maarifa na ukayaweka kichwan na ukayatumia....!!!Hivi pombe si inaua hao vijidudu maana kuna place nilisoma wamesema kwenye barakoa tumwagie kaulevi kwa zile za vitambaa inakuwaje hapo maana nilitaka agiza ma K cant na nyagi kwaajili ya kukimbiza virusi
Duhh unasoma na kupata haya maarifa na ukayaweka kichwan na ukayatumia....!!!Hivi pombe si inaua hao vijidudu maana kuna place nilisoma wamesema kwenye barakoa tumwagie kaulevi kwa zile za vitambaa inakuwaje hapo maana nilitaka agiza ma K cant na nyagi kwaajili ya kukimbiza virusi
Hii ni Habari mbaya zaidi kwa walevi wote waliokua wanaamini pombe inaua corona virus sidhani kama kuna mlevi wa kawaida ana alcoholic content mwilini mwake kumzidi pierre Liquid
Andaà Eneo la karantiniKaribuni,ila tahadhari muhimu😷😷
Mnacheka mgonjwaHuyu hapa
Liquid barPole sana Pierre Liquid. Ungetaja na bar yenyewe pia ili tuwashauri waume zetu wapiga vyombo waepuke fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawaume wangapi, huoni kama nawewe unaendekeza mkusanyiko usiokua wa lazima..?Pole sana Pierre Liquid. Ungetaja na bar yenyewe pia ili tuwashauri waume zetu wapiga vyombo waepuke fasta
Sent using Jamii Forums mobile app