CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

Mungu amjalie kinga nyingi za mwili ziweze kupambana na hili gonjwa la kutengenezwa
 
Pole sana Pierre Liquid. Ungetaja na bar yenyewe pia ili tuwashauri waume zetu wapiga vyombo waepuke fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Balaa zitoo
 
Hivi pombe si inaua hao vijidudu maana kuna place nilisoma wamesema kwenye barakoa tumwagie kaulevi kwa zile za vitambaa inakuwaje hapo maana nilitaka agiza ma K cant na nyagi kwaajili ya kukimbiza virusi
Duhh unasoma na kupata haya maarifa na ukayaweka kichwan na ukayatumia....!!!
 
Hii ni Habari mbaya zaidi kwa walevi wote waliokua wanaamini pombe inaua corona virus sidhani kama kuna mlevi wa kawaida ana alcoholic content mwilini mwake kumzidi pierre Liquid

Kuna milevi 🍺 mingi mjini inakunywa pombe kali tu. Pierre anasubiri sana
 
Mbeya tumeambiwa na mkuu wa mkoa kuwa tuendelee kunywa tu tusije tukawa wezi, huyu pierre aseme ukweli kuwa ugonjwa kaupata kilabuni sio bar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…