Nahisi atakua kapata kwa yule polisi ambae taarifa zake zilikua zinazunguka mitandaoni juzi juzi maana nae alisema anakunywa hapo likud
Yule kamanda wa matrafiki nasikia ndo uliukwaa hapo bar na ikafungwa, kigogo aliisema mapema hii sasa itakuwa ndo alikuwa nae karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo tuamini watu wa dar wote wagonjwa mtu kapita bar kanywa bia chali, mkae hukohuko ndio maana Guinea wameamua kuwatembezea kichapo wachina wakiwatuhumu kuleta corona africaWewe uelezwe ili iweje?
Matibabu ni siri ya matabibu na mgonjwa.
Je wewe ummy akueleze ili ufanye nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
MCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona.
Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi.
Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke.
"Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi nikapime kwa nia njema ili kama ninao nipate matibabu mapema na kuepuka kuwaambukiza wengine.
" Hivyo nilienda hospitali ya Temeke, wakanipima ndipo nilipokutwa ninao na kuletwa hapa Amana ambapo kwa sasa ni moja ya kituo cha wagonjwa,"amesema Pierre.
Alipoulizwa anadhani ni wapi kaupatia, amesema "Huu ugonjwa mimi nitakuwa nimembukizwa nikiwa baa hakuna sehemu nyingine kwa kuwa ndio maeneo yangu ya kujidai,".
Hata hivyo amewapongeza baadhi ya viongozi waliotoa tamko la kufungwa kwa baa na kueleza kuwa hatua hiyo ni nzuri kwa kuwa maeneo hayo watu kuwa makini kujikinga na ugonjwa huu ni ngumu na pia huusisha mikusanyiko ambapo mtu akiwa hajalewa anaweza kukaa mbali na watu lakini pombe zikishamuingia akili hiyo haitakuwepo tena.
Wito wake kwa wananchi ameshauri kuchukua tahadhari ikiwemo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya kama kunawa mikono na maji tiririka,kuvaa barakoa na kuongeza kuwa hata yeye kabla hajaupata ugonjwa huo alikuwa hauchukulii kwa uzito.
" Wananchi nawashauri mchukue tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu, kwani mimi pia nilikuwa nauchukulia kimasihara, lakini sasa hivi kama hivyo nimekuwa mtu wa kukaa ndani, kushinda na barakoa na kulala na barakoa, gambe silipati tena maisha ambayo sikuyazoea, hivyo kinga ni bora,"ameshauri Pierre.
Pierre mywa castlite uyoKuna milevi [emoji481] mingi mjini inakunywa pombe kali tu. Pierre anasubiri sana
Likud[emoji777]Nahisi atakua kapata kwa yule polisi ambae taarifa zake zilikua zinazunguka mitandaoni juzi juzi maana nae alisema anakunywa hapo likud
kuna tatizo kwani?Hivi jamaa si alishaanza kutajwatajwa anagombea ubunge huyu? Mara paap jamaa yupo bungeni mara kajisahau kapiga kibwagizo chake kile "say yeee"[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo tuamini watu wa dar wote wagonjwa mtu kapita bar kanywa bia chali, mkae hukohuko ndio maana Guinea wameamua kuwatembezea kichapo wachina wakiwatuhumu kuleta corona africa
Unadhani ni kwa wanaoshinda bar tu ,hii ngoma ni popote inakudaka.Kwa lifestyle yake ya kushinda bar ilikuwa lazima mdudu ampitie
Duuhh hatari sanaMwana FA yupo Temeke na yupo hoi taabani, nasikia anahamishiwa amana
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni Habari mbaya zaidi kwa walevi wote waliokua wanaamini pombe inaua corona virus sidhani kama kuna mlevi wa kawaida ana alcoholic content mwilini mwake kumzidi pierre Liquid
Siamini kama Magu kayakimbia hata yale ma dreamliner...!!Hatuna namna mkuu, namba one mwenyewe kasepa kaiacha meli baharini mimi ni nan nisijiongeze. Nipokee mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.. Jamaa hajapona hadi leo!!!!!!?Mwana FA yupo Temeke na yupo hoi taabani, nasikia anahamishiwa amana
Hi balaa !yaani walevi alikuwa nao,abiria aliosafiri nao,baa maid aliemhudumia, demu wake chain kama yoteMCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona.
Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi.
Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke.
"Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi nikapime kwa nia njema ili kama ninao nipate matibabu mapema na kuepuka kuwaambukiza wengine.
" Hivyo nilienda hospitali ya Temeke, wakanipima ndipo nilipokutwa ninao na kuletwa hapa Amana ambapo kwa sasa ni moja ya kituo cha wagonjwa,"amesema Pierre.
Alipoulizwa anadhani ni wapi kaupatia, amesema "Huu ugonjwa mimi nitakuwa nimembukizwa nikiwa baa hakuna sehemu nyingine kwa kuwa ndio maeneo yangu ya kujidai,".
Hata hivyo amewapongeza baadhi ya viongozi waliotoa tamko la kufungwa kwa baa na kueleza kuwa hatua hiyo ni nzuri kwa kuwa maeneo hayo watu kuwa makini kujikinga na ugonjwa huu ni ngumu na pia huusisha mikusanyiko ambapo mtu akiwa hajalewa anaweza kukaa mbali na watu lakini pombe zikishamuingia akili hiyo haitakuwepo tena.
Wito wake kwa wananchi ameshauri kuchukua tahadhari ikiwemo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya kama kunawa mikono na maji tiririka,kuvaa barakoa na kuongeza kuwa hata yeye kabla hajaupata ugonjwa huo alikuwa hauchukulii kwa uzito.
" Wananchi nawashauri mchukue tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu, kwani mimi pia nilikuwa nauchukulia kimasihara, lakini sasa hivi kama hivyo nimekuwa mtu wa kukaa ndani, kushinda na barakoa na kulala na barakoa, gambe silipati tena maisha ambayo sikuyazoea, hivyo kinga ni bora,"ameshauri Pierre.
Mbona analeta kichekesho kwenye jambo muhimu? Kwanza anasemaje bosi wake alipata Corona na akamshauri na yeye akapime, anasahahu alilosema kisha anasema atakuwa ameipata baa kwani ndiyo sehemu yake ya kujidai! Huyu ndiye Liquid japo ubongo wake hauna mtiririko.MCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona.
Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi.
Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke.
"Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi nikapime kwa nia njema ili kama ninao nipate matibabu mapema na kuepuka kuwaambukiza wengine.
" Hivyo nilienda hospitali ya Temeke, wakanipima ndipo nilipokutwa ninao na kuletwa hapa Amana ambapo kwa sasa ni moja ya kituo cha wagonjwa,"amesema Pierre.
Alipoulizwa anadhani ni wapi kaupatia, amesema "Huu ugonjwa mimi nitakuwa nimembukizwa nikiwa baa hakuna sehemu nyingine kwa kuwa ndio maeneo yangu ya kujidai,".
Hata hivyo amewapongeza baadhi ya viongozi waliotoa tamko la kufungwa kwa baa na kueleza kuwa hatua hiyo ni nzuri kwa kuwa maeneo hayo watu kuwa makini kujikinga na ugonjwa huu ni ngumu na pia huusisha mikusanyiko ambapo mtu akiwa hajalewa anaweza kukaa mbali na watu lakini pombe zikishamuingia akili hiyo haitakuwepo tena.
Wito wake kwa wananchi ameshauri kuchukua tahadhari ikiwemo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya kama kunawa mikono na maji tiririka,kuvaa barakoa na kuongeza kuwa hata yeye kabla hajaupata ugonjwa huo alikuwa hauchukulii kwa uzito.
" Wananchi nawashauri mchukue tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huu, kwani mimi pia nilikuwa nauchukulia kimasihara, lakini sasa hivi kama hivyo nimekuwa mtu wa kukaa ndani, kushinda na barakoa na kulala na barakoa, gambe silipati tena maisha ambayo sikuyazoea, hivyo kinga ni bora,"ameshauri Pierre.
Umeambiwa na kigogo?Mwana FA yupo Temeke na yupo hoi taabani, nasikia anahamishiwa amana
Ndio kwanza wamejazana Ubungo wakigombea mabasi kurudi mikoani!Hali ni tete wakuu....mlioko daslamu msisubiri kupigwa lockdown jiongezeni,na huku "mikoani" hatuwataki😷😷😷
Yap!!!!!!...eti lion...wene!!!😂😂😂😂🤣🤣Ile bar ya Lion..wene sio?