Hiyo dini waliitunga na kuitengeneza wazungu. Ndio maana wanajua maombi hayana msaada wala maana yoyote.
Nimeonyesha ujinga wako hapa janvini, hilo nimeweza.Huna huo uwezo
Faith without works is dead!!Watu tunaomba toka corona imeingia. Hata kwenye biblia watu waliomba na kuingia vitani kupigana. Yeye anaomba na kulala Chato.
Tusijifiche kwenye kivuli cha maombi.
Kazi na Sala
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huna chochote buku saba weweNimeonyesha ujinga wako hapa janvini, hilo nimeweza.
Faith w/o works is dead!!Hofu ya Mungu haina msaada wowote ukiwa mjinga.
Hivi uko kwa wenzetu hatua wanazochukua tunawaona mafala eeh..??
Kwamba wao hawana hofu ya Mungu..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe eleza hapa hapa tu ana watu wake wanapitaga huku...watamfikishia ikibidi hata itengenezee uziMagufuli Amebeba Maono Ya Watanzania. Magufuli Akiwa kama Kiongozi Mkuu wa Taifa Anayo Access Kubwa sanaaaa.
Ya kuongea na MUNGU Na MUNGU AKAMSIKIA!
Magufuli Akiwa kama Rais wa Tanzania nyuma yake raia wote wanamtazama yeye.
Magufuli Anahitaji watu wa rohoni Ambao anasimama nao
Magufuli Anahitaji walinzi wa kiroho ambao watasimama naye.
Kuna watu ambao ni malango. Kuna watu ambao Magufuli akisimama nayo anaweza kupiga hatua kubwa sanaa kama Kiongozi Mkuu na hata Taifa kwa ujumla
Lakini bahati mbaya zaidi wale watu hayupo nao!
Si kila siku viongozi wa dini alio nao Magufuli ni watumishi wa Kweli wa Mungu. Wengine ni ma Agent ambao wapo kumuangamiza.
NINA MENGI YA KUMUELEZA RAIS LAKINI SIDHANI KAMA NAWEZA KUONANA NAYE
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kashaona dalili za ugonjwa kufika kikomo na anahimiza watu kusali ili ikifika wiki ijayo maambukizi yatakapo pungua, awazodoe wale wanaomkejeli kwamba njia anazotumia za maombi si sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hawezi kusaidia Taifa zembe ambalo halitaki kuchukua hatua!Tusali tu hamna namna, watu wanapukutika. Leo nimeamka na fever sijui nilishapata. Mungu nisaidie.
Toa mawazo yako tufanyaje?Kama Rais namna ya kukabiliana na hili janga anatuambia tusali?
Sent from my iPhone using JamiiForums