Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

G Sam,
Na sisi wananchi tumwombe jiwe kwa siku Tatu akataze mikusanyiko mikubwa popote nchini.
 
Watu tunaomba toka corona imeingia. Hata kwenye biblia watu waliomba na kuingia vitani kupigana. Yeye anaomba na kulala Chato.
Tusijifiche kwenye kivuli cha maombi.
Kazi na Sala


Sent from my iPhone using JamiiForums
Faith without works is dead!!
 
Naamini katika MUNGU NA MBIO!
Si rahisi kupima huhudi kumwelekea Mungu; inawezekana kupima 'mbio'. Je mbio zetu ni sahihi kadiri ya nguvu aliyonayo adui?
 
Magufuli Amebeba Maono Ya Watanzania. Magufuli Akiwa kama Kiongozi Mkuu wa Taifa Anayo Access Kubwa sanaaaa.
Ya kuongea na MUNGU Na MUNGU AKAMSIKIA!

Magufuli Akiwa kama Rais wa Tanzania nyuma yake raia wote wanamtazama yeye.

Magufuli Anahitaji watu wa rohoni Ambao anasimama nao

Magufuli Anahitaji walinzi wa kiroho ambao watasimama naye.

Kuna watu ambao ni malango. Kuna watu ambao Magufuli akisimama nayo anaweza kupiga hatua kubwa sanaa kama Kiongozi Mkuu na hata Taifa kwa ujumla

Lakini bahati mbaya zaidi wale watu hayupo nao!

Si kila siku viongozi wa dini alio nao Magufuli ni watumishi wa Kweli wa Mungu. Wengine ni ma Agent ambao wapo kumuangamiza.

NINA MENGI YA KUMUELEZA RAIS LAKINI SIDHANI KAMA NAWEZA KUONANA NAYE

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe eleza hapa hapa tu ana watu wake wanapitaga huku...watamfikishia ikibidi hata itengenezee uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kashaona dalili za ugonjwa kufika kikomo na anahimiza watu kusali ili ikifika wiki ijayo maambukizi yatakapo pungua, awazodoe wale wanaomkejeli kwamba njia anazotumia za maombi si sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kibwetere alichoma watu wa aina yako. Acha kuabudu sanamu boss.
 
Mwafrika kweli ni kituko.
Wazungu wanakesha laboratory kuvumbua chanjo na tiba sisi kazi kumtaja Mungu tu.
Alikuwa wapi mpaka ugonjwa unaingia anaucheki tu, Leo anasubiri aombwe ndio auondoe.
Basi huyo Mungu ni mbinafsi
 
Back
Top Bottom