Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Katika hali ya kukosa kipindi kizuri kutoka channels tofauti za television nikatune tbc1, mara nakuta maelfu wa watu wakiwa ibadani. Nilijua ni recorded kumbe ni live kabisa. Watu wamebanana, lile jengo ni ghorofu limejaa watu chini na juu.
Kwa mtindo huu ule utaburi wa WHO juu ya Afrika unaweza kutimia.
 
Umamuamini MUNGU au unaongea ongea tu?
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Wanatekeleza agizo la mkuu wa nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂
Hutakiwi kushangaa hao ndo kondoo wa bwana.
 
Phillipo Bukililo,
This is totally an illiterate idiology! Wamarekani na Waingereza wanapambana. Na kama wasingepambana wangekufa wengi mno.

Huyu mpumbavu Makonda amechangia kabisa kuenea kwa hawa virus. Alikuwa anahamasisha watu kwa nia za kipumbavu.

Hili siyo kizingizio bali ni upumbavu na ujinga wa huyo hayawani. Baada ya kuona mambo yanazidi kuwa magumu ameamua anapaniki na kuwaambia polisi wachape watu. Najua wajinga kama wewe Bongo mpo wengi sana na ndiyo maana tuko hapa.
 
Ujinga wa Africa hadi tuumie ndipo tunamshambulia aliyetusababishia... huyu jamaa anategemea Mungu huku akituambia tuendelee kufanya kazi we need lockdown right now...

Raia hifadhini vyakula kifo chenu ndio sasa maana hao wagonjwa wanaolipotiwa washaacha virusi kibao nyuma yao na vinasambaa kwa kasi...

Mifano ya Serikali bishi tumeiona kwenye news nasi Serikali zetu tunazitizama kwa aibu najua mioyoni mmejawa na Khofu ila Salini tu Sala zenu za Mwisho kifo chawajia kwa uoga wenu wa kumuonea aibu... from bigining nilipoanza kusikia matamko ya ajabu kabisa kuwahi kutolewa nikajua hii ni kafara ya uchaguzi...

Yeye kajichimbia kwao... STUKENI... changanyeni na za kwenu... mtakosa pa kuzikana maiti zitajaa majumbani kwenu... Familia zitateketea asibakie mtu wa kuendeleza koo...
we need State of Emergency.
 
Kuchapa kazi ni hatari, Lockdown ni hatari

Haya mambo ni mazito sana
 
Watakuja kukwambia hapa jifungie kwako kwani umekatazwa kujifungia...?

Subiri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…