Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Katika hali ya kukosa kipindi kizuri kutoka channels tofauti za television nikatune tbc1, mara nakuta maelfu wa watu wakiwa ibadani. Nilijua ni recorded kumbe ni live kabisa. Watu wamebanana, lile jengo ni ghorofu limejaa watu chini na juu.
Kwa mtindo huu ule utaburi wa WHO juu ya Afrika unaweza kutimia.
Kwa mtindo huu ule utaburi wa WHO juu ya Afrika unaweza kutimia.