Watanzanja ujumbe umemetufikia tayari. Sasa kuanzia kesho ni maombi ya kitaifa kila mmoja funga na kuomba. Kataa kula chipsi zozote wala chai....naomba kwa ambao hawakuchukulia sirious wachukue hii.....iwe umeokoka hujaokoka,una house boy au house girl mwambie akiache chakula.
Rais amefanya kama mfalme wa ninawi alivyofanya......waliingia wote maombi ya kufunga, wakamlilia BWANA katika dhiki zao,
Akawaponya na shida zao.zaburi 107:6
Nasi tunaenda kumpazia MUNGU sauti zetu kwa pamoja na kwa umoja ili atuvushe ktk msimu mgumu kama huu.
Naomba share kama mlivyoshare ujumbe uliopita, nimeona karibia WATU 2000 mmesambaza.......sambazeni na huu tafadhari. Nakuombea wewe mwenge kufanya kazi hii na kutii kuingia maombi haya Yesu akunusuru na mabaya yote.
_ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao_ .
Sent using
Jamii Forums mobile app