Kikarara78
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,495
- 903
Boss Clemence Mwandambo Imani inaenda na Matendo ... Imani bila Matendo Ni Batili.
Nampongeza Mh. Rais kwa kuwa Upande wa Imani.
WaTanzania na Wananchi wote tuzidi kuchukua taadhari, Corona Inaua.
Nampongeza Mh. Rais kwa kuwa Upande wa Imani.
WaTanzania na Wananchi wote tuzidi kuchukua taadhari, Corona Inaua.
Nimeyapenda maneno haya, watanzania tuingie kwenye maombi, hakika tutashinda hii vita inayotukabili, hii vita ya korona, ni Mungu pekee anayeweza kutushindia, raisi wetu ameonyesha njia, tusimame kwa imani tusonge mbele Mungu ataliponya taifa. Hakika Mungu atajidhihirisha na dunia itashangaa. Watanzania tuungane bila kujali dini wala siasa.
View attachment 1421261