Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Watawala ni wa wakilishi wenu mliowachagua kwa kura zenu wenyewe.
Uzembe wa wachache unatucost wote.

Ni kweli tulizembea na kwa hili tunapaswa kutubu
Kuendelea kuwalaumu si suhisho la tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hii nchi kuna mambo mengi yanafanywa kwa faida yao wenyewe, watu waliambiwa kabisa jaman janga linakuja tuliwai jitu linakazana hatufubgi mipaka tubachapa kazi, kama yeye mwamba arud dar sasa tuendelee kupambana na haka kakorona kadogo...hawa mkiwachekea kila siku watakuwa wanawaona misukule yao
 
Ndugu yangu hii nchi kuna mambo mengi yanafanywa kwa faida yao wenyewe, watu waliambiwa kabisa jaman janga linakuja tuliwai jitu linakazana hatufubgi mipaka tubachapa kazi, kama yeye mwamba arud dar sasa tuendelee kupambana na haka kakorona kadogo...hawa mkiwachekea kila siku watakuwa wanawaona misukule yao
Huu si muda wa lawama
Ni muda wa kumlilia Mungu na kuchukua tahadhari zitolewazo na wataalam

Ugonjwa unaua wote,lawama haitatuondolea huu ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuata kanuni za wataalamu wa afya including social distance,epuka mikusanyiko ya hovyo,ndo Mana tukapewa akili Sasa ukisema usali bila kuchukua hatua mwishowe utakuja kulaumu Mungu bure kumbe unakuwa hukutumia akili ndogo hata za kuvukia barabara.

N.B Mimi napenda kusali Sana Ila saa nyingine wakristo huwa tunatumia maandiko vibaya hata vitu vya kutumia akili ya kawaida tuna mchosha Mungu, mwishowe maombi hayajibiwi tunakuwa ka wale manabii wa baali. Tuchukue tahadhari corona is real

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuata kanuni za wataalamu wa afya including social distance,epuka mikusanyiko ya hovyo,ndo Mana tukapewa akili Sasa ukisema usali bila kuchukua hatua mwishowe utakuja kulaumu Mungu bure kumbe unakuwa hukutumia akili ndogo hata za kuvukia barabara.

N.B Mimi napenda kusali Sana Ila saa nyingine wakristo huwa tunatumia maandiko vibaya hata vitu vya kutumia akili ya kawaida tuna mchosha Mungu, mwishowe maombi hayajibiwi tunakuwa ka wale manabii wa baali. Tuchukue tahadhari corona is real

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hachoki ndugu yangu! Yeye anapenda sana tumshirikishe kila jambo, ila ni kweli ni muhimu sana kuzingatia ushauri wa wataalamu kama ulivyo sema! Tumwombe Mungu atusaidie na awasaidie wataalamu wakati huu wa mpambano!
 
Mkuu, wapingaji mbona wako hapa Tu, wakitumia vidole vyao kuchapisha Mandiko ya kupinga na kukataa maombi, lakini mbona tunakutana vizuri huko kwenye nyumba za Ibada!!

Wacha wapinge, lkn Giza la mauti lijapotanda miongoni mwa jamii zao, Jeuri yote itawakimbia, mwenye jeuri ya kumdhihaki Mungu hajawahi kuzaliwa hii Dunia, farao na Ujinga wake wote, alikubali kuwaachia Wana Israel wsondoke mikononi mwake

Wanasahau wakizani hili nalo ni kama Upinzani wa CCM na Chadema, wakidhani wanamkomoa Mbowe na Magufuli, Mungu Ibariki Tanzania, uwabariki na viongozi wetu wa kisiasa,

Kipekee Mbariki Raisi wetu JPM
 
Maombi hayajawahi kua na msaada wowote kwenye jambo lolote.
Labda hujawai kupata msaada wowote kwenye jambo lolote kwenye maombi Kwa sababu labda hujawai kuomba au huwa unaomba vibaya! Lakini Mungu Yupo ndugu yangu, siku ukitaka Msaada wake, utapata!
 
Huu si muda wa lawama
Ni muda wa kumlilia Mungu na kuchukua tahadhari zitolewazo na wataalam

Ugonjwa unaua wote,lawama haitatuondolea huu ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point sana ila haya majitu ni majitu yakujisahau tukikaa kimya next time haya mambo yatajirudia, naamini Mungu atatusaidia, tuzidishe maombi, ila hawa mbwa wanatucost sana
 
Italy mkuu wa kanisa, Pope anasalisha ukumbi mweupe, au wao wana Mungu wao tofauti na wetu? Tuwe na imani, tusali, lakini huku tukiwaunga mkono wataalamu wetu wa afya. Tuwape nyenzo za kuwakinga wanapo tuhudumia, tuwape nyenzo bora za kufanyia kazi, dawa za kutosha ziwepo, huyo Mungu atatusikiliza na hakika tutavuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom