Elimu ya juu mamlaka wanazo wenyewe, nadhani nao watafunga soon!hata elimu ya juu inafaa kufungwa, kama inawezekana kuwe na online tutorials..Mungu tuepushe na hili balaa
Yap na advance pia wao huwa hawajitambui? Kwa hiyo ina maaana ukinchukua mtoto wako aliyemaliz form 4 akaamua aende chuo badala ya advance anakuwa tayari amejitambua? Anakuwa anajitambua kuliko yule wa advance? [emoji52]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna Mtu mweusi hata mmoja ameshafariki mpaka sasa?Watu wazima ndiyo waathirika wakubwa wa corona
Mpaka sasa hakuna mtoto wa chini ya miaka 10 aliyefariki
Nadhan kuwaleta wote mtaani bado haisaidii, wanafunzi walio Bweni wabaki huko huko hata likizo ya Pasaka wasirudi.
Zifunge shule za kutwa pekee
Hawa waachwe wasaidie jitihada za ugunduzi wa tiba.Namsubiria apande juu kidogo.... afike kwenye vyuo vya elimu ya juu
Hakuna
Umeuliza swali gumu kwa njia rahisi.hii ni kwa nchi nzima au?
Na vipi kuhusu nyie ndugu zangu wa mental?hata elimu ya juu inafaa kufungwa, kama inawezekana kuwe na online tutorials..Mungu tuepushe na hili balaa
Hiyo ndio tahadhari kabla ya hatari. Na wanasiasa wamepata pa kukimbilia wakiulizwa mbona daraja la Kayegeya limeporomoka tena jibu litakuwa "Corona bhana"
Ni nchini koteUmeuliza swali gumu kwa njia rahisi.
Ugonjwa ukisambaa hakuna mtalii atakayekuja Tz, ni bora watalii wasije ila tuwe na uhakika tu wa kula ugali wetu kwa amani, Tz inajitosheleza kwa chakula, kwa nini tuwe na uoga wa kufunga mipaka? Hata Uganda wanatuzidi ujasiri kweli?Sababu kubwa kwa nini serikali yetu haifungi mipaka hasa kwa wageni wa kizungu ni mapato. Serikali inategemea sana mapato ya utalii, sasa ikifunga mipaka na kutangaza watalii wasije itakosa pesa za kuendeshea serikali.
Hali ni mbaya ndani makusanyo hakuna sasa wazifunga mipaka watalii wasije watashindwa kuendesha serikali.
Hapa wataruka ruka kufunga mashule, vyuo ila sio mipaka. Wakifunga mikapa watasafocate na kufa njaa.
Na vipi kuhusu nyie ndugu zangu wa mental?
Hi tunaipa two week, Kama hamna kifo, we are home free..Hakuna
Mimi hii ishu inanipa wakati mgumu mpka libido zimekataIla wakuu hii inshu ni serious..
Aiseeeee !!Msongamano jijini Dar esSalaam Tanzania ktk Mitaa ya Kariakoo na soko Kuu la Kariakoo vipi ?
Na vipi kuhusu nyie ndugu zangu wa mental?