Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
[emoji23] [emoji23] najuta kuitoa pesa ya school bus leo asubuhiHapo wazazi tuliokuwa tunadaiwa ada tu nasema afadhali tupumue Kaz kwa wamiliki washule walivyokuwa wanasubir tumalizie ada kabla ya mid term.
Kaz imebaki kwenye nyumba za kupanga Sasa naomba serikali itoe tamko hakuna kutoka wala kusafiri ili tupate sababu ya kuendelea kuishi mpaka tutakapopata pesa zao
Sent using Jamii Forums mobile app