Upo sahihi - Corona haipo, ni hawa watu tu wanatuonea gere na mali zetu za asili...watupokonye !!Habari ya uongo hii ipuuzeni ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi - Corona haipo, ni hawa watu tu wanatuonea gere na mali zetu za asili...watupokonye !!Habari ya uongo hii ipuuzeni ndugu zangu
Bavicha chapeni kazi majungu siyo mtaji!
Kwani upinzani bado upo?Shangilieni sasa bavicha, huwa mnapenda na kuiombea mabaya nchi kana kwamba nyie ni mna kinga na matatizo hayo
Mtaelewa mtakapoona hakuna mtalii anakanyaga nchi hii.Hivi wale watalii wanao shuka Zanzibar na Kia wanatoka bara lipi?.
wewe mleta maada ndio unaona leo? hata Rwanda imo siku nyingi mbona
ninayo pamoja na juhudi zao zote wamepigwa ban kukanyaga uingerezaRwanda wameanza kutoa chanjo kwa rai wao kama huna taarifa.
Kwa hiyo unafarijika kuwa sawa na rwandawewe mleta maada ndio unaona leo? hata Rwanda imo siku nyingi mbona
Katika wajinga wa jf hum ww wakwanza mkuu koo ushabik wako unasaidia nn hapMnaitia aibu dunia
Hivi bado upo?Utalii uko hatarini kuanguka kabisa nchi hii.
Waambie wajinga wenzio Yehodaya, Kipara, Wakudadavua, Bia yetu, USSR, and the like.Habari ya uongo hii ipuuzeni ndugu zangu
Habari ya uongo hii ipuuzeni ndugu zangu
Hahaha!wewe mleta maada ndio unaona leo? hata Rwanda imo siku nyingi mbona
Kwa kuwa raisi wetu ana akili nyingi kuliko maraisi wa mataifa mengine! KilangilaUpo sahihi - Corona haipo, ni hawa watu tu wanatuonea gere na mali zetu za asili...watupokonye !!
KUNA NCHI 54 ZA KIAFRIKA, AMBAZO ZIKO LISTED KAMA RED LIST.Hii ndio Tweet yao:
"This is important information for British Nationals travelling from Tanzania to the UK. As Tanzania is a red list country, you must book hotel quarantine before you travel."
=====
View attachment 1703060
"
ISAIAH 26:20 Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.Ubalozi wapewe ushuhuda wa matendo ya Bwana, tumeuona mkono wake.
oNA SASA MAWAZO YA WA TZ ...NDIO MMAANA MKO NYUMAKUNA NCHI 54 ZA KIAFRIKA, AMBAZO ZIKO LISTED KAMA RED LIST.
LAKINI NA SISI KWA UJUHA WETU HATUJIULIZI kati ya Tanzania na uingereza ni nchi gani iko ni VIFO vingi vya covid19??
Mtoa post unakimbilia kuleta hii post kwa kuipa uzito.
Je watanzania tunahitaji nini uingereza?
Ni asilimia ngapi wanaumia na hii BAN?
Sana sana inawaumiza wanaharakati na wanasiasa mliozowea kwenda kuomba ufadhili huko ulaya.