Coronavirus: Ubalozi wa Uingereza wasema Tanzania ni "Red list Country"

Coronavirus: Ubalozi wa Uingereza wasema Tanzania ni "Red list Country"

Corona ni janga la kidunia lakini hapa kwetu wanasiasa wamelifanya kuwa mtaji wao........

Watawala wanalishughulikia kisiasa na wapinzani wanalitumia kisiasa matokeo yake wananchi wamebakia njia panda.........

Watawala wanaficha vifo na taarifa.....wapinzani wanafurahia vifo.....na kila habari mbaya kuhusu corona nchini kwetu.......
 
Taarifa kama hizi zinaweza kuwa mwiba mchungu kwa Watu wanaotarajia kusafiri toka Tanzania kwenda nchi nyingine.

Mfano hai ni huu wa watu wa Angola walioizuia Timu yetu ya Namungo iishie Airpot na Kurudi Bongo.

Kuna ulazima wa Balozi wa Uingereza apewe onyo, aache uchochezi wa kutoa taarifa zisizo na ushahidi wa takwimu.
 
Uingereza imekwapua taulo,ni mda wa kurudi nyuma na kujipanga,niyaonayo tunaenda humia Sana Kama taifa,Kama wananchi, twafaaa
Hii ndio Tweet yao:

"This is important information for British Nationals travelling from Tanzania to the UK. As Tanzania is a red list country, you must book hotel quarantine before you travel."

=====

View attachment 1703060
"
 
Kilichopo ni kuwa jiwe anaona aibu kutangaza cz alijisifia sana n kuleta mizaha na kejeli kww nchi zingine sasa kimewaka anaanzaje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uingereza ina hali mbaya sana mpaka nchi nyingine za ulaya kama ujerumani zimezuia mpaka timu zao kuingia badala ya kushugurika na nchi nyingine angeanza na ya kwake ingawa ukweli upo wazi na sisi hali ni mbaya
 
Tanzania iko salama kuliko Ulaya! Waache kutufatafata

Watuache na mambo yetu!
Narudia tena kusema watuache na mambo yetu!

Kwanini wanataka tuchukue hatua waliochukua wao ilihali hawataki kuchukua hatua tulizochukua sisi?
Je, tumewalazimisha wafuate njia zetu?
Kwanini wao wanataka tufuate hatua zao ambazo mpaka sasa hazijasaidia chochote zaidi ya kuwakera wananchi wao?

Acheni kusikiliza serikali za mabeberu badala yake mjikite kusikiliza serikali yenu.

Acheni utumwa
Umetisha!
 
Uingereza ina hali mbaya sana mpaka nchi nyingine za ulaya kama ujerumani zimezuia mpaka timu zao kuingia badala ya kushugurika na nchi nyingine angeanza na ya kwake ingawa ukweli upo wazi na sisi hali ni mbaya
No way out haijalishi wako vibaya au vipi, tujiangalie sie,kwanza
Hatuna Budi Sasa all suspect kuanza kuwafanyia isolation,wakiwa chini ya watahalam ambao nao pia wamewezeshwa kwenye vifaa madhubuti vya kujikinga,
Ni wakati wa porojo kuziweka pembeni, na kuanza napambano ya kweli,
Serikali KWA Sasa Mambo mengine yasio na haraka yasitishwe, pesa Sasa ielekezwe kwenye mpambano huu, usiri uondoke Mara moja watu wapimwe majibu yatoke hata Kama yapo maambukizi ml 10 iwe wazi itasaidia kupatiwa misaada pia ,maana mziki huu Kama nchi hatuwezi pekee yetu,
 
Back
Top Bottom