Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Urusi,kuna warusi wengi Zanzibar this time around sema tu ni wabahiriHivi wale watalii wanao shuka Zanzibar na Kia wanatoka bara lipi?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi,kuna warusi wengi Zanzibar this time around sema tu ni wabahiriHivi wale watalii wanao shuka Zanzibar na Kia wanatoka bara lipi?.
Leo mnajifananisha na rwanda teh tehWewe mleta mada ndio unaona leo? Hata Rwanda imo siku nyingi mbona.
Sisi hatuna covid tuna ugonjwa wa kushindwa kupumua.na kuhusu vifo utajuaje Taz Ina vingi au vichache wakati si tu data hazitolewi bali hata kurekodiwa mahospital hakunaKUNA NCHI 54 ZA KIAFRIKA, AMBAZO ZIKO LISTED KAMA RED LIST.
LAKINI NA SISI KWA UJUHA WETU HATUJIULIZI kati ya Tanzania na uingereza ni nchi gani iko ni VIFO vingi vya covid19??
Mtoa post unakimbilia kuleta hii post kwa kuipa uzito.
Je watanzania tunahitaji nini uingereza?
Ni asilimia ngapi wanaumia na hii BAN?
Sana sana inawaumiza wanaharakati na wanasiasa mliozowea kwenda kuomba ufadhili huko ulaya.
duh hatariHii ndio Tweet yao:
"This is important information for British Nationals travelling from Tanzania to the UK. As Tanzania is a red list country, you must book hotel quarantine before you travel."
=====
View attachment 1703060
"
Wewe kiande inaelkea unawaota bavicha ndton kbsa.Shangilieni sasa bavicha, huwa mnapenda na kuiombea mabaya nchi kana kwamba nyie ni mna kinga na matatizo hayo
Watalii waliodata tu na maisha ndiyo watakuja kujitoa muhanga na kuja kuhangaika na maBeach boy.VISIT 🇹🇿
Aliomba kazi ya Urais ili iweje 🙄But what should Magufuli do?
Magufuli hakuleta corona!
So?
😧😧😧Watalii waliodata tu na maisha ndiyo watakuja kujitoa muhanga na kuja kuhangaika na maBeach boy.
Urusi,kuna warusi wengi Zanzibar this time around sema tu ni wabahiri
Sauti za busara festival inafanyika mars?.Weka picha tuwaone
Sasahivi tunauza dhahabu na tanzanate wasitutishe, wambie wasije kutalii waone kama tutakufa njaaWewe ndo mjinga, Watalii wanao tupa Dolla ni unazania ni ukoo wako? Wewe unaweza hata kukaa nusu saa Serengeti National Park? ,
Corona ni janga la kidunia lakini hapa kwetu wanasiasa wamelifanya kuwa mtaji wao........
Watawala wanalishughulikia kisiasa na wapinzani wanalitumia kisiasa matokeo yake wananchi wamebakia njia panda.........
Watawala wanaficha vifo na taarifa.....wapinzani wanafurahia vifo.....na kila habari mbaya kuhusu corona nchini kwetu.......
Hatuhitaji kwenda kwao! Ila wao ndo wanahitaji kuja kwetu. Wanavutiwa na Uhuru wa kuvuta hewa Safi bila barakoaMwana wa kulitafuta mwana wa kulugeti. Inaelekea hakuna mtanzania atakanyaga ulaya na Marekani
Sisi tuna Kinga ya asili toka kwa Mungu!!Rwanda wameanza kutoa chanjo kwa rai wao kama huna taarifa.
Ukweli ni kwamba wazungu wanatuonea wivu!! Wamesubiri maiti ziokotwe barabarani kama walivyodhani lakini hilo halijatokea!!Nimeondoka huko uingereza wiki tatu zilizopita kumeoza kunanuka,mambo yote ni TZ Corona free watuache na life letuuuu.
Nachoshangaa nchi hizi kubwa zinaiangalia Tanzania tu. Nimetembelea nchi kadhaa katika pembe ya Africa. Hakuna social distance, mask ukitaka mwenyewe. Kwenye magari hasa daladala za huko mnarundikana. Hawajawahi kufanya lockdown. Kwanini hawasemwi? Kwanini hawako kwenye Red list country? Inaandamwa tu Tanzania?Ubalozi wapewe ushuhuda wa matendo ya Bwana, tumeuona mkono wake.
Nachoshangaa nchi hizi kubwa zinaiangalia Tanzania tu. Nimetembelea nchi kadhaa katika pembe ya Africa. Hakuna social distance, mask ukitaka mwenyewe. Kwenye magari hasa daladala za huko mnarundikana. Hawajawahi kufanya lockdown. Kwanini hawasemwi? Kwanini hawako kwenye Red list country? Inaandamwa tu Tanzania?Ukweli ni kwamba wazungu wanatuonea wivu!! Wamesubiri maiti ziokotwe barabarani kama walivyodhani lakini hilo halijatokea!!
Kingine, Wana hasira na Tanzania kwa sababu wameona hakuna soko la kuuza chanjo zao za Corona! Sasa hivi chanjo ni dili! Dozi moja ya chanjo ni dola 100. (Tsh 230,000/= Tumekataa kuliwa!!
Hao masikini wanasahau haraka sana !..unakumbuka Makonda alivyofurahia mtoto wa Mbowe kuugua korona?