Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania


Kwa nini MGR na TAZARA hazikukuza uchumi? Jibu swali hili kwanza.
 
Hivi nyie watu elimu yenu ya uchumi mnaitoaga wapi? Umenichekesha kweli. Yaani MNHEP isubiri SGR ikamilike ndiyo ijengwe! Na hapo umeme uliopo hautoshi na siyo reliable! Sasa hizo treni zitakuwaje na ufanisi ikiwa ujenzi wa reli zake hauendi sambamba na miradi ya umeme?

Tatizo jingine ni kuwa mfumo wetu wa elimu umejaa masomo na maada zisizo na tija sana na kupuuza yale yanayohitajika. Mfano, somo kama DS vyuo vikuu huishia kufundisha mambo ya class struggle na upuuzi mwingine.

That way unapata wasomi wasiojua namna jamii yao inapaswa kuendelea.

Everything must go.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa "intuition". Bila hiyo urasimu peke yake huwa unakwamisha mambo. Kama unaifahamu vema mpanda, unaweza kuniambia ni kwa nini hapakuwa na flights za ATCL?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nimekupata vema mkuu. Yaani unafahamu kuwa SGR Dar-Moro haina pesa. Pia unafahamu kuwa JK ndiye aliyetekeleza expansion ya births 0, na 1-7. Tatizo hujaniambia kuwa unafahamu kikubwa kilichofanywa awamu zilizopita ni kuendesha bandari bila flow meters wala scanners. Pia hujaniambia kuwa kikubwa alichofanya JK bandarini ni kuzalisha kashfa ya births 13 na 14 zilizomng'oa mpaka waziri!

Sasa nimekupuuza rasmi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nani aliyekwambia umeme hautoshi? Tanzania inazalisha karibia 1700 MW na matumizi peak ya umeme ni 1000 MW. Tatizo kubwa ni transmission wala siyo installed capacity.

Anyway, acha jamaa aitumbukize nchi kwenye madeni makubwa watalipa wengine.
 

Sijamlinganisha Jakaya na JPM mimi wala sijawahi kuwa mshabiki wa Jakaya. Angalia muktadha wa hiyo post.
 
Kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa "intuition". Bila hiyo urasimu peke yake huwa unakwamisha mambo. Kama unaifahamu vema mpanda, unaweza kuniambia ni kwa nini hapakuwa na flights za ATCL?

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwezi kuwa na route nyingi wakati una ndege chache, hiyo ni common sense. Matokeo yake ni kuwa na delay na cancelation za kutosha.
 
Kwa ufupi, kujua Uwezo wa JPM ni zaid ya kujua Calculus. Pia wahenga walisema "Birds of the same feather flocks together".

Humu ndani kuna great thinkers & great Sinkers, hivyo tusilazimishe slow leaners wawe fast leaners asee, watatupotezea muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Analysts wengi wa mitandaoni comment zao zinaleta uvivu hata kuzisoma. ATCL ilikuwa na plana sahihi kabisa hivyo wakachagua the most efficient fleet kwa kila category ya air routes ambazo kila moja ina umuhimu wake;

Domestic (short haul) routes walichagua Bombardier Q400-8 ambazo zina ufanisi kuliko mshindani wa karibu Bombardier ATR kama za Precision. Lengo ni kusukuma usafiri wa ndani.

Regional routes ilikuwa sahihi kuchagua B-CS300 over washindani akina A319, A320, au B 737 ambazo ni kubwa kidogo hivyo ufanisi wake ni mdogo (gharama vs mapato). Na hapa ndipo alipofeli Fast Jet.

Intercontinentally (long haul) tulikuwa na options mbili. Dreamliner vs Airbus 330neo au 350. Airbus walionekana kuwa na backlog kubwa na pia dreamliner ikawa na ufanisi zaidi. Ndiyo sababu airbus wakaleta kwere baada ya kuwapiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unless uniambie ndege inaenda tupu tena na evidence! Huwezi kuniambia one or three times flights a week tena kwa dash inaleta hasara kuna wanunuzi wengi wa nafaka upande ule!



Kwa abiria wa Mpanda-Dar ni more economic kupanda ndege kuliko gari (mfanyabiashara). Hivyo ukiona mtu anaponda ruti hiyo ambayo tayari ina kiwanja kizuri kabisa ujue ana ufahamu finyu kwenye hayo masuala. Pia JPM atakuwa aliona utoto wa wasaidizi wake unamkwamisha. Yaani eti route ilikuwa inakwamishwa na ukosefu wa magari ya zima moto! Kama vile yanatengenezwa sayari nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanunuzi wote wa nafaka wa Afrika Mashariki wanaijua Mpanda (Katavi)! Nangoja ukarabati wa viwanja vya Mtwara na Songea ukamilike, Air Tanzania irudi zile route pia!
 
Shule yako vp mshikaji? Acha kujiaibisha pitia budget uone miradi yote hutengwa fedha! Na isiyotengwa huanzishwa pale tu tunapopata mkopo!
Huyu jamaa wa ajabu kweli. Anakwambia miradi imeishia hewani. Ukimwambia akutajie mmoja ulioishia hewani hataji. Mm nafikiri aachwe tuu na weupe wake ku-mkichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado utashangaa hajaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa. Pamoja na weakness zake (democracy & good governance), Magu ni game changer na kimsingi nchi yetu inamuhitaji sasa kuliko kipindi kingine. Tulihitaji kiongozi mwenye maono na misimamo thabiti kuelekea hayo maono.

Afrika ataendelezwa na waafrika wenyewe kwa fikra za kiafrika. Mambo ya kupangiwa vipaumbele na wazungu (na sasa wachina) tuwaachie wasiojiamini (Kenya kwa mfano).

Rai kubwa kwa Magu ni kuhakikisha kunakuwa na linkage baina ya EPZAs, SEZs, na industrial clusters nyingine, na miundombinu ya reli.

Enzi za awamu ya kwanza ilikuwa hivyo. Tuliochagua mfumo holela kila mtua akaanza kuweka kiwanda anapotaka yeye na hivyo kupelekea kuua kabisa economies of scale kwa wazalishaji wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mradi wa commuter train ya jiji la dodoma ( yaani treni za mjini) wa kilometer 100 upo hatua za mwisho za usanifu.

Reli hiyo ya mjini itaunganisha Airport itakayojengwa ya msalato, mji wa serikali kula mtumba, stendi ya mabasi ambako pia kuna soko la ndugai pamoja na stendi ya SGR kule ihumwa kuingia na kupitia mjini.

Majirani mjiandae tu kisaikolojia.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…