Kuondoa vyuma vya Zege ndo kubomoa..akili yako umempa nani akushukie.Wana Mataga hamjambo ?
Naona SGR Daraja la Nkurumah limekongongorewa kwa mara ya Tatu.
Naona Jini la pale sio la Nchi hii.
Itabidi Mataga muongee na Jamaa mlie mvunjia Petrol station yake bila ya fidia yoyote.
Petrol station ile ilikua na hati miliki ya mwaka 1966 .
Magu akaivunja kibabe . Haya mukaongee naye au mtavunja hapo na kujenga mpaka maji mtaita mma
Hii ni ya Tz?Hvi wakenya madaraka express na utofauti wake nini[emoji848] ila macharia aliwapiga chenga ya kichwa
View attachment 1742653
View attachment 1742654
View attachment 1742655
View attachment 1742656
View attachment 1742657
View attachment 1742658
Mbona unauliza majibu? Yaani hata kuelewa kilichokuwa-posted ni shida?Hii ni ya Tz?
Mbona unauliza majibu? Yaani hata kuelewa kilichokuwa-posted ni shida?
Tazara hiyo na picha nimepiga mimi mwenyewe 😎Hii ni ya Tz?
seriously Mtanzania halafu unauliza hapo ni wapi? hata kuelewa caption The best 007 atakuwa The worst 007!Acha ushamba ww kwani ukimjibu mshikaji bila dhihaka unapungukiwa nn...ningekuwepo karibu ngekutekenya kdgo kwnye king’amuzi
Ndivyo alivyo Geza inabd kumzoea tu [emoji3][emoji3]Acha ushamba ww kwani ukimjibu mshikaji bila dhihaka unapungukiwa nn...ningekuwepo karibu ngekutekenya kdgo kwnye king’amuzi
Noma sana kaka [emoji122][emoji122][emoji122]Tazara hiyo na picha nimepiga mimi mwenyewe 😎
umekuwa The worst 007Ndivyo alivyo Geza inabd kumzoea tu [emoji3][emoji3]
Nililiona jengo la Tazara ila nikataka uthibitisho kuhusu zile behewa, kumbe hata Tazara tuko vzr hv!!seriously Mtanzania halafu unauliza hapo ni wapi? hata kuelewa caption The best 007 atakuwa The worst 007!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umekuwa The worst 007
Hii ni ya Tz?
leta evidence!View attachment 1744293
Naona hiki Kipande kilichokuwa kimebaki nacho kimevunjwa rasmi. Najiuliza kama Yapi walijua na hiki kinatakiwa kijengwe upya kwanini hawakufanya pamoja ni hicho kingine? Mbona sielewi nini kinaendelea hapo? Naona upotezaji wa muda na resources usio na maana yoyote.
Kuondoa vyuma vya Zege ndo kubomoa..akili yako umempa nani akushukie.
picha mbona unatoa kiupande upande? Anyway kama consultant kaona mapungufu na kushauri pabomolewe then its big up to him! Kuna watu SGR yao mapungufu yalionekana baada ya mvua kunyesha na kusomba kingo za tuta(embankment)!