Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Wana Mataga hamjambo ?
Naona SGR Daraja la Nkurumah limekongongorewa kwa mara ya Tatu.
Naona Jini la pale sio la Nchi hii.
Itabidi Mataga muongee na Jamaa mlie mvunjia Petrol station yake bila ya fidia yoyote.
Petrol station ile ilikua na hati miliki ya mwaka 1966 .
Magu akaivunja kibabe . Haya mukaongee naye au mtavunja hapo na kujenga mpaka maji mtaita mma
Kuondoa vyuma vya Zege ndo kubomoa..akili yako umempa nani akushukie.
 
Acha ushamba ww kwani ukimjibu mshikaji bila dhihaka unapungukiwa nn...ningekuwepo karibu ngekutekenya kdgo kwnye king’amuzi
seriously Mtanzania halafu unauliza hapo ni wapi? hata kuelewa caption The best 007 atakuwa The worst 007!
 
Update: SGR Mwanza-Isaka




EyHYwZLXMAMQ4k0



EyHYwZMWQAImBSD



EyHb7MUXMAAXnjl



EyHb7PDWEAI2oJs



CC: Tony254
 
IMG_6417.jpg

Naona hiki Kipande kilichokuwa kimebaki nacho kimevunjwa rasmi. Najiuliza kama Yapi walijua na hiki kinatakiwa kijengwe upya kwanini hawakufanya pamoja ni hicho kingine? Mbona sielewi nini kinaendelea hapo? Naona upotezaji wa muda na resources usio na maana yoyote.
 
View attachment 1744293
Naona hiki Kipande kilichokuwa kimebaki nacho kimevunjwa rasmi. Najiuliza kama Yapi walijua na hiki kinatakiwa kijengwe upya kwanini hawakufanya pamoja ni hicho kingine? Mbona sielewi nini kinaendelea hapo? Naona upotezaji wa muda na resources usio na maana yoyote.
leta evidence!
 
Back
Top Bottom