Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

hali sio kabisa ndugu.... nchi inaelekea pabaya!
pata kusikiliza kibao hichi kisha utanielewa πŸ‘‡

View: https://x.com/godbless_lema/status/1859181599868547417
 
tumia akili basi kidogo. pesa ya uma inatafunwa kwa mambo yasiokua na msingi. au ulidhani wanatoa pesa mfukoni mwao?
Wewe ndio una akili kupewa ndege na basha zenu uarabuni na kulipiwa gharama zote za private jet.
Sisi ni taifa tunalojiweza serikali kukodisha ndege ATCL kuna shida gani? Na pia kila trip ya serikali ina budget yake toka ikulu na yote hiyo ni hela ya umma wewe ulitaka aende kwa meeting ya G20 kwa gharama ya nani? Waarabu ama?
 
kuna mtu yuko obsessed na reli ya Kenya-Uganda. toka juzi anabandika posts ishirini kila siku... angalia vizuri πŸ˜‚πŸ˜‚
Wakati mwingine fanya kuandika Kiswahili cha kikenya basi, angalau ujifiche kidogo kamanda😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…