Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

halafu munataka kushindana kibiashara ukanda huu?
huoni kama hii pakia/ pakua inaenda kuwa-cost sana i.e,,
1. Time consuming
2. Expensive
You are very stupid. Mabehewa yote ya mizigo zaidi ya 230 ndio yamefika bandarini hii juzi na upakuwaji utaanza soon. Kipande cha kukonekt na bandari kipo kinajengwa na ni underground.

Tulia, dawa itakuingia soon.
 
😂😂😂🤭
IMG_20241216_220838.jpg

IMG_20241216_221500.jpg
 
inasikitisha sana tokea juzi, maeneo mingi sana ya nchi yamekumbwa na tatizo la umeme
IMG_20241218_165554.jpg
 
Kuweni na uzalendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
😂😂😂....
kaa ukijua kwamba siku zote, mficha uchi hazai!
 
Back
Top Bottom