halafu munataka kushindana kibiashara ukanda huu?SGR yetu bado kuwa connected na bandarini wewe pimbi.
You are very stupid. Mabehewa yote ya mizigo zaidi ya 230 ndio yamefika bandarini hii juzi na upakuwaji utaanza soon. Kipande cha kukonekt na bandari kipo kinajengwa na ni underground.halafu munataka kushindana kibiashara ukanda huu?
huoni kama hii pakia/ pakua inaenda kuwa-cost sana i.e,,
1. Time consuming
2. Expensive
danganya totoKipande cha kukonekt na bandari kipo kinajengwa na ni underground.
Utakuwa mpumbavu kudhani SGR yetu ni magumashi kama yenu.danganya toto
dream on!!Utakuwa mpumbavu kudhani SGR yetu ni magumashi kama yenu.
"10/08/2023, UJENZI WA VIVUKO, NJIA YA RELI KUINGIA BANDARINI"
View: https://m.youtube.com/watch?v=Z_09X5wNr5Q
Poledream on!!
lete video latest...Pole
leo umepata nguvu ya kuleta pua yako hapa? ushaacha kulialia majukwaa mengine na X? π€£Raia wa Kenya wakamatwa wizi wa miundombinu ya SGR
View: https://youtu.be/4iVsgwE8zd8?si=bP4shf2qwW2tcoQO
πππ....Kuweni na uzalendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
Kamanda Mbowe katangaza nia hukoππππ....
kaa ukijua kwamba siku zote, mficha uchi hazai!
π€£π€£π€£Kamanda Mbowe katangaza nia hukoπ