diamond d
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 812
- 2,048
Hapana bwana nyie huwa mnadhani ni matajiri Africa mashariki ndio maana mlijenga hiyo hamkidhani Kama Tz tunhewaza makubwa eti kwasababu barabara za 3 lanes mmeanza kujenga before us. Things changes, .now mnavofanya mambo mjue kabisa Giant anawaangalia na kuwa chora, and I hope now mmeshajua kuwa Tz are geneous
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambo sana niliwaambia waKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzagizan. Watu wa kuona mbele.
Wakati SGR inaundwa it was envisaged that later, it will be electrified. Hatujawai fanya vitu kwa kufuata Tanzagiza. Mtatusubiria sana. Ni ukweli tuu
Sent using Jamii Forums mobile app