Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya mliokuwa mnacheka station ya Soga hapa inabidi mlie kabisa. Station kama stendi ya bus za mjini (Dar). Compare and contrastView attachment 1200907View attachment 1200908
Poor designing!! Sehemu ya muhimu wamelipu lipua. Kumbe ata yale ma Mombasa na Nairobi Terminus kwa nyuma yapo hivyo! Hapo mtu anaweza ata aka anguka maana ukishuka kwenye train inabidi uambae juu ya msingi mpaka ulifikie jengo. Hii KIBWEZI STATION ime ezekwa na mabati kama ambayo umetoka kuya kejeli ya station za BRT. In short station zenu zina mkosesha passenger ile firts class experience.Hio ya kwenu hayo mabati shed ndo stesheni, Huku kwetu hio shed ya kuzulia jua/mvua kama unapanda treni ni just that - a shed! Stesheni yenyewe utaipata nyuma/mbele yake, Kwa mfano hapo Kwa hio picha ni Suswa station boarding platform, stesheni yenyewe hapo nyuma inakaa hivi
![]()
Sasa unaweza kuendelea ku compare and contrast
Wacha ushamba wewe. train steshen zote hua ziko na bording platform kama hivyo, Alafu treni yenyewe inapita karibu na hapo ikisimama hakuna nafasi inabaki!Poor designing!! Sehemu ya muhimu wamelipu lipua. Kumbe ata yale ma Mombasa na Nairobi Terminus kwa nyuma yapo hivyo! Hapo mtu anaweza ata aka anguka maana ukishuka kwenye train inabidi uambae juu ya msingi mpaka ulifikie jengo. Hii KIBWEZI STATION ime ezekwa na mabati kama ambayo umetoka kuya kejeli ya station za BRT. In short station zenu zina mkosesha passenger ile firts class experience.
Hata hio kibwezi ambayo unataka kuiponda bado ni nzuri mara 10 zaidi kushinda hio BRT platform, hata usianzishe huu mchezo manake zile stesheni zenu zinafanana na Public toilets zetu.KIBWEZI STATIONView attachment 1200970
Waa very ugly, kwani mlipewa bure [emoji23][emoji23][emoji23]Wacha ushamba wewe. train steshen zote hua ziko na bording platform kama hivyo, Alafu treni yenyewe inapita karibu na hapo ikisimama hakuna nafasi inabaki!
![]()
Hii hapa reli inayojengwa na Yepi Merkezi kule Ethioipia, Ukiangalia stesheni inafanana na hizo zenu kabisa!
![]()
Hizo bording platform zenu zitakaa hivi
![]()
![]()
[emoji56]
Hata afadhali zetu mara mia, hizi zinakaa kama cow shed!
Hichi choo kinafanya nini hapa 😛😛Waa very ugly, kwani mlipewa bure [emoji23][emoji23][emoji23]
Hichi choo kinafanya nini hapa 😛😛
![]()
Hio post ulio quote ni bording platform za Ethiopia zinazojengwa na Yepi merkezi 😂😂😂😂😂 Hizo ndo zitakua zenu 😇🤩🥳Ulitaka tujenge vitu ugly ka hizo zenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hio post ulio quote ni bording platform za Ethiopia zinazojengwa na Yepi merkezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizo ndo zitakua zenu [emoji56][emoji2956][emoji3060]
BTW, hizo stesheni zenu kweli ni choo kabisa!! Hebu angalia vile zinafanana
Public toilet
![]()
Tz SGR station
![]()
Sisi tunaongelea stesheni wewe umeruka kwa sura ya treni.... mara sasa unataka kuingiza viwanja vya ndege !!!!Si hata Msamvu morogoro bus stage ni nzuri kuliko viwanja vyote vya ndege kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ukatae ukubali treni yenu mbaya kinoma yaani ni kama mlipewa bure.
I see the TZ SGR is taking shape. From the picture of the locomotive and that building(I don't know what to call it, it surely cannot be a station) It's very clear there is nothing to right home about. The only comparable thing between the two projects is the cost, as the title of the thread rightfully puts it. please let's stick to cost comparison!!!!!Hichi choo kinafanya nini hapa 😛😛
![]()
Acha uchokozi bana[emoji23][emoji23]Hio post ulio quote ni bording platform za Ethiopia zinazojengwa na Yepi merkezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizo ndo zitakua zenu [emoji56][emoji2956][emoji3060]
BTW, hizo stesheni zenu kweli ni choo kabisa!! Hebu angalia vile zinafanana
Public toilet
![]()
Tz SGR station
![]()
yaani mangazi ngazi utasema ni zilr stations zilizojengwa na mkoloni 1960sPoor designing!! Sehemu ya muhimu wamelipu lipua. Kumbe ata yale ma Mombasa na Nairobi Terminus kwa nyuma yapo hivyo! Hapo mtu anaweza ata aka anguka maana ukishuka kwenye train inabidi uambae juu ya msingi mpaka ulifikie jengo. Hii KIBWEZI STATION ime ezekwa na mabati kama ambayo umetoka kuya kejeli ya station za BRT. In short station zenu zina mkosesha passenger ile firts class experience.
station zao ni zakiboya sana hebu check mibati hiyo kimbinga kikipita hapo hali haiwi salamaKIBWEZI STATIONView attachment 1200970
vichaka stationHata hio kibwezi ambayo unataka kuiponda bado ni nzuri mara 10 zaidi kushinda hio BRT platform, hata usianzishe huu mchezo manake zile stesheni zenu zinafanana na Public toilets zetu.
![]()
![]()
![]()
hiko ni kituo kidogo hatuna haja yakutengeneza mkituo mkubwa kila sehemu angali hiyo sehemu si ya mzunguko ....hatutaki matumizi mabaya ya kifedha ila wait main stations utaelewa .....how tuko bright n better kuliko nyieHichi choo kinafanya nini hapa 😛😛
![]()
Hapa hata ng'ombe haezishi[emoji23]station zao ni zakiboya sana hebu check mibati hiyo kimbinga kikipita hapo hali haiwi salama
Nchi maskini pekee ndio inaezajenga ujinga kama hizi in the name of Railway Stationhiko ni kituo kidogo hatuna haja yakutengeneza mkituo mkubwa kila sehemu angali hiyo sehemu si ya mzunguko ....hatutaki matumizi mabaya ya kifedha ila wait main stations utaelewa .....how tuko bright n better kuliko nyie