bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,773
- 1,460
Una akili za ajabu sana, kwani design za station zimebadilika? mbona ziko hivyo hata kabla ujenzi haujaanza. Hayo ya riba ni ya ukaguzi wa CAG kwa FY 2019/20
Miaka ya nyuma CAG hakuripoti akimuogopa Magufuli.
Design itavo kuwa ni vimeo