Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda utalilia kifo cha Akwilina hadi lini?
Sisi hatuhangaiki na mbwa bali tunaangalia mwenye mbwa anasemaje. Tunafuatilia maduhuli ya treasury sio kauli za KRC.puuzeni habari za kupotosha. habari kamili hii hapa 👇
View attachment 3151811
Ipi inabeba mzigo mkubwa per trip, ipi inagharama nafuu per trip na kiundeshaji kwa ujumla, reli ipi inaendeshwa na shirika la reli la nchi?Treni yetu na yenu ipi ina kasi zaidi!?
Ipi ina comfortability haina mitikisiko!?
Nasubiri hayo majibu hapo.
Eight hours of torrid moment. 🤣🤣🤣
Serikali imeilipia shida yako ni nini?hii ni noma sana,,, mama anakula bata tu.
B787 yenye registration number 5H-TCJ imepark airport Rio De Janeiro siku tatu sasa bila kuingiza hela yeyote. Crew wanalala hotel/meals.
View attachment 3156462
Specs zao ni superior kuliko zenu. Cargo yao inatembea 100kph unlike yenu 80kph, train length yao ni 880m yenu ni 800m, traction power ni electric yenu ni garimoshi, passengers train specs allow for double decker coaches pia.Waganda wameamua 😁😁!
hadi siku utaponaKamanda utalilia kifo cha Akwilina hadi lini?
Halafu siponi😁hadi siku utapona