njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
aliambiwa alipe milion 500 akaenda kumlilia majizzo wa efm ambaye inasemekana harmonize anamuheshimu kupita kiasi ndipo ikabidi konde gang wafoji mkataba kuonyesha alikuwa na mkataba wa miaka 2 umeisha na yuko released kumbe ilikuwa 10 yearsHaha..bado kusema ametakiwa atoe Milioni ngapi kuvunja mkataba