Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Yani nampenda kuliko chochote katika sayari hii,
umeona eeeh...safi sanaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nampenda kuliko chochote katika sayari hii,
Kumbe ulikua ujui mi jirani yako eeh, hua nakuchabo kila siku unavopita apa uchochoroni. Iv yule jamaa anae kusindikizaga ni nani? Shemeji asipaone hapa.
Sio mashindano lakini hebu tucheki ni couple gani inayodeserve kuwa
Couple of the year 2013
Ndani ya Chit chat??
Je, ni Arushaone & Lady doctor?
Erickb52 & Chocs?
Filipo & marejesho?
kiwatengu & shansarie?
...............kuna nyingine ambazo binafsi sizijui.
ni ipi ilikuwa nzuri zaidi ndani ya Chit chata kwa mwaka 2013?
Narudia tena si mashindano!!!
happy for you, naona umeanza mwaka kwa kupata faraja ya moyo wako!!
Pongezi pongezi
Kwenda zako huko,
Wakati mwenzio anamtongoza Bishanga majuzi
karibia na mwisho wa mwaka ulikuwa uko wapi.
U Senior Bachelor Mpweke umenichosha, nimepata tulizo la moyo.
Ahsanteee
Bishanga alikuwa kajificha ndaniThe secretary umesahau ulikuja na bandiko la kutaka kutoka nje ya ndoa kuwa mwenzio Bishanga humuoni?Kwa hilo tu,limeiondoa hiyo couple kuwa bora!Couple bora wanavumiliana wakati wa shida na raha,muulize ladydoctor alivyokuwa akihangaika wakati Arushaone anaumwa,au muulize shansarie anavyokuwa anasononeka wakati kiwatengu amesafiri kikazi Mtwara!
Amesharudi?
namdai aisee
Amesharudi?
namdai aisee
Umechagua fungu jema.
upweke si kitu chema hata kidogo