Wee sii upo na Dr LizzyKumbe unakula kimya kimya na haunitonyi na mie π π
π€£ JamanNdio mie ndio shemela...ujiangalie nisije nakukula shemeji
Alinipiga cha mbavuu aseee π π πWee sii upo na Dr Lizzy
Ni utumwa[emoji23][emoji23]Tutafute pesa wakuu haya sio mapenzi .View attachment 2575312
π€£π€£Nimechekaπ€£π€£π€£Nimeshangaa kweli
Namkumbuka alikuwa handsome akaenda hadi Nigeria kwenye maombiArusha One jamaa mmoja mtu poa sana na ni muungwana sana.
Kabisa.Ni utumwa[emoji23][emoji23]
Ngoja tupe kwanza ile simulizi hadi ikafichua siri za mfanyakazi wa hitelini akiyedanganywa atapelekwa USANyani ngabu ni mtu wangu??.hebu futa hapo me nimeolewa kabisa huku mkuu usiniletee shida ndoa yangu bado watoto wachanga.shindwa pepo.hebu futa hapo kabla mwenyewe hajaingia humu
Kwa kweli shemela haushindwiπNdio mie ndio shemela...ujiangalie nisije nakukula shemejiπ
Ile siku Paloma alikuwa beneath na Bujibuji Simba Nyamaume ,halafu tukaondoka kuelekea Maisha Club Oysterbay, kwenye Noah ya buji alikuwemo paloma, kipaji halisi, Figganigga na Madame B, mimi na buji.Ewaaa nilimtamanigi ππ nilimuona kwa mala ya kwanza ile white part pale kebs π π π kuna jamaa alikuwa anajiweka karibu nae alikuwa blackberry bold naona kama alikuwa mkali wa hizo kazi kipindi kile π π π
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€Jamani jaman
Usifukue makaburi mkuu, mengine yana vina virefu zaidi...π€£Ngoja tupe kwanza ile simulizi hadi ikafichua siri za mfanyakazi wa hitelini akiyedanganywa atapelekwa USA
Wewe jamaa huna kifuaπIle siku Paloma alikuwa beneath na Bujibuji Simba Nyamaume ,halafu tukaondoka kuelekea Maisha Club Oysterbay, kwenye Noah ya buji alikuwemo paloma, kipaji halisi, Figganigga na Madame B, mimi na buji.
Paloma alinimaliza sana π π πIle siku Paloma alikuwa beneath na Bujibuji Simba Nyamaume ,halafu tukaondoka kuelekea Maisha Club Oysterbay, kwenye Noah ya buji alikuwemo paloma, kipaji halisi, Figganigga na Madame B, mimi na buji.
Anakuambia kuhusu kuruka ukuta kwake wala sio tatizo....ilimradi usimletee shoo ya kijinga ya kitoto [emoji23]Alafu hanaga noma [emoji28][emoji28] ona day nimekutana nae kino viwanja yupo vyomboo ila vibe tuu .. utu uzima dawa naona kapunguza makali na alikuwa ana shinda jukwaa la utu uzima dawa