Couple ya Tunda na Casto Dickson ndio Couple mbaya zaidi hapa nchini

Couple ya Tunda na Casto Dickson ndio Couple mbaya zaidi hapa nchini

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu ,nimevumilia weeeeeee lakini yamenifika haaaaaaaaaaapa acha niseme ukweli tu kama mbwai iwe mbwai tu.

Kiukweli hakuna couple isiyovutia hapa bongo kama couple ya Tunda na Casto Dickson, kiufupi hawapendezani wala hawaendani hata kidogo .

Kwa hadhi na uzuri wa Tunda hakupaswa kudate na jamaa hata kidogo ,hawaendani hata kidogo ,ndio maana Tunda humkuti akimpost post jamaa hovyo wala kujinadi kwamba wanadate ila huyo Casto ndio kutwa nzima anampost post hovyo Tunda na kujisifia sifia kwa watu sijui kabila gani huyu jamaa, maana inaonesha hakuwahi kupata demu mkali zaidi ya Tunda.

Ila nina uhakika hilo penzi lao litaisha mwaka huu tu ,sidhani kama mwakani hilo penzi lao litaendelea kuwepo abadani asilani labda jamaa ampige kizizi cha kumfunga Tunda asitamani mwanaume mwengine.


castodickson-20180826-0001.jpg
 
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu ,nimevumilia weeeeeee lakini yamenifika hapaaaaaa acha niseme ukweli tu kama mbwai iwe mbwai tu.

Kiukweli hakuna couple isiyovutia hapa bongo kama couple ya Tunda na Casto Dickson, kiufupi hawapendezani wala hawaendani hata kidogo .

Kwa hadhi na uzuri wa Tunda hakupaswa kudate na jamaa hata kidogo ,hawaendani hata kidogo ,ndio maana Tunda humkuti akimpost post jamaa hovyo wala kujinadi kwamba wanadate ila huyo Casto ndio kutwa nzima anampost post hovyo Tunda na kujisifia sifia kwa watu sijui kabila gani huyu jamaa, maana inaonesha hakuwahi kupata demu mkali zaidi ya Tunda.

Ila nina uhakika hilo penzi lao litaisha mwaka huu tu ,sidhani kama mwakani hilo penzi lao litaendelea kuwepo abadani asilani labda jamaa ampige kizizi cha kumfunga Tunda asitamani mwanaume mwengine.


View attachment 847205
Acha uchawi dogo.
 
Kumwagana ama kutomwagana kwangu haina athari yoyote wala hayanihusu. Ila tu nakereka na baadhi ya picha za huyo Tunda za 3/4 uchi wakati akijua ana mtu wake. Na sijui huyo Casto anajisikiaje kuziona mtandaoni. Au naye anasapoti maana naona km mapenzi yao ni kama yale ya Ki O-Level vile.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumwagana ama kutomwagana kwangu haina athari yoyote wala hayanihusu. Ila tu nakereka na baadhi ya picha za huyo Tunda za 3/4 uchi wakati akijua ana mtu wake. Na sijui huyo Casto anajisikiaje kuziona mtandaoni. Au naye anasapoti maana naona km mapenzi yao ni kama yale ya Ki O-Level vile.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanatangaza biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom