Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,443
- 8,903
Kumwagana ama kutomwagana kwangu haina athari yoyote wala hayanihusu. Ila tu nakereka na baadhi ya picha za huyo Tunda za 3/4 uchi wakati akijua ana mtu wake. Na sijui huyo Casto anajisikiaje kuziona mtandaoni. Au naye anasapoti maana naona km mapenzi yao ni kama yale ya Ki O-Level vile.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Fast Life. Speeding to Hell !
-Kaveli-