Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo ukubali hivyoo Casto shemeji yako. Unadhani ile tattoo kaichora bure bure kama hawana kitu?Sio kwamba Casto hajali bali uwezo wa kumuacha mtoto mzuri kama Tunda hana labda aachwe yeye, kwanza hainiingii akilini kabisa kama ni wapenzi kweli kweli kuna kitu kimejificha hapa ngoja nipeleleze mpaka nijue.
Kuchora jambo la kawaida tu ili kuwahadaa watu,halafu ile tatoo ni temporary .Ndo ukubali hivyoo Casto shemeji yako. Unadhani ile tattoo kaichora bure bure kama hawana kitu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini kwanza humtaki shemeji yako Casto?Kuchora jambo la kawaida tu ili kuwahadaa watu,halafu ile tatoo ni temporary .
Kuna watu wanaudhi ujue, eti wa fey, kama unataka na wewe nikuchome sema[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Subiri ndani miezi miwili au mitatu utajua kila kitu kuhusu hii couple.
Nilitaka kusema maneno kama haya ila sikuwa najua namna ya kuyaweka nadhani hicho ndio kinachoharibu muonekano wa hiyo kapo ila mengine ni yaoKumwagana ama kutomwagana kwangu haina athari yoyote wala hayanihusu. Ila tu nakereka na baadhi ya picha za huyo Tunda za 3/4 uchi wakati akijua ana mtu wake. Na sijui huyo Casto anajisikiaje kuziona mtandaoni. Au naye anasapoti maana naona km mapenzi yao ni kama yale ya Ki O-Level vile.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa wilaya gani Huyo nimjue?Hata couple ya Jiwe na mkuu wa wilaya mbona haiendani, lakini sisi sio washika paja kwahiyo acha wamalizane wenyewe
Kidoti.
Am so sorry[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Heshima ni kitu cha bure.
Tuheshimiane , sijawahi kukuvunjia heshima, ninaomba na wewe usinivunjie heshima kwa kunifananisha na huyo punga.
Sijaupokea msamaha wako, badala yake nimekuripoti kwa moderators watajua namna ya kudeal na wewe.Am so sorry[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu binti wa watu kakuomba msamaha kwa moyo wa thati y usimsamehe tuSijaupokea msamaha wako, badala yake nimekuripoti kwa moderators watajua namna ya kudeal na wewe.