MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Usiteseke na maumivu,wataachana tu
Kuachana ni ya mbeleni na hayana uhakika. Ila kwa sasa wanaenjoy na wanapiga hela za content
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiteseke na maumivu,wataachana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha watu wakule Maisha na Maisha sio magumu kama tunavyofikiri.
Tupunguze kukaza mafuvu...
Kuna Afande Chuga huko kamtegea mumwe mapanga bahati mbaya Sir.God kakataa okoto la mapema kwa Bwana yule..
Vijana wacha wadekeane...mana wanaume wengi ni ubwabwa now days.
Toto la TIA watu wamejichapia sana ilikua ela yako tu. I hope atakua ametulia siku hizi otherwise mwamba ahesabie maumivuhabari wadau.
hii couple maarufu inayotrend sana tik tok na instagram ya vijana wanaojiita Meet Us. inafanya ma single tujione mayatima wa mapenzi.
mahusiano mazuri matamu sana na muhimu hela iwepo ya ku afford standard basic needs. mwanaume ukimaliza chuo ukajipata fasta, yaani ukapata kazi yako ama biashara ya kuafford kumtunza girl friend. na girl friend nae akakupenda utajiona dunia ni yako.
na kwa mwanamke pia vile vile ukipata mwanaume anaekupenda kijana mwenzako utajiona dunia ni yako
View attachment 2860267
Tafuta na wewe wako mtengeneze contentKuachana ni ya mbeleni na hayana uhakika. Ila kwa sasa wanaenjoy na wanapiga hela za content
NAKAZIAKwa nini mtu uteseke na maisha ya watu wengine, tena ambao hawakuhusu?
Hakika
Kwa nini mtu uteseke na maisha ya watu wengine, tena ambao hawakuhusu?
Tikotiko sio? 😂😂😂Ndyo kina nani hawa ..mimi ndyo nawaona leo au kwa sababu situmii tikotiko
[emoji1787]Tikotiko sio? [emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndiyo jamani 🤣🤣🤣Tikotiko sio? 😂😂😂