Couples Verification!


Mhhh hebu ngoja nisiki ushauri the outcome ya hii statement na zen i will do ze nidful my dear KOKUTONA
Hivi kwani si unakuwa na mimi na Dena Amsi aendelee na kama kawaida kwani kuna shida yoyote
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kwanza naona unachanganya vidume tu hapa....

mara muzungu figganigga mara pendapenda Vin Diesel

Vinajichanganya vyenyewe ila babe figganigga hana mpinzani


Niwache muke ya muzungu!!!!!!!

nitajie jina la mkeo fasta nimpe taarifa za unayofanya hum ndani!!!!
Wote hapo juu msiwe na hofu, naomba niwatangazie rasmi leo waote hapo juu na wengine wanaotamani kuja kuwa msiwe na hofu, mke wangu heaven on earth tumeshapatana aende aendako lakini jioni aniletee mahesabu mezani.

Nashangaa wanaojisifu humu vifua mbele kuwa huyu wangu mara wengine wanajishaua kumuandalia breakfast wakati mke wangu anawafanya kama watumishi wa ndani tu. Nimemuagiza kuchuna mabuzi yanayoeleweka sio vimbuzi uchwara.

Kwa hiyo ukiona umekubaliwa ujue kuna kitu unatakiwa uchunwe mpaka kiishe ili jioni wazee tukae kwenye viti virefu.
 
kwanza naona unachanganya vidume tu hapa....

mara muzungu figganigga mara pendapenda Vin Diesel

Vinajichanganya vyenyewe ila babe figganigga hana mpinzani


Niwache muke ya muzungu!!!!!!!

Mwingine huyu hapa chini. Anajifanya shemeji mtu kumbe....ndiyo maana nilimpiga marufuku kufika nyumbani kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…