Couples Verification!

Couples Verification!

Hizo Heaven on earth ni zetu wenyewe hamruhusiwi kufika huko na hata nilipoweka kidumu huruhusiwi kukishika maana utamwagikiwa na acid yake


Elewa kuwa Heaven on earth ana aleji na wazungu na ashachoka na ngozi nyeusi hii
au dozi yako ya kichovu ndo maana anakimbia unamletea shombo tuu



:shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock: wacha mimi nikae kimya maana hapa nikiongeza neno nitaharibu zaidi



Mhhh huku unampeti peti Vin Diesel na huku unamwandalia grafani11 supu sikuelewi hivi unajua wote hao ni ndugu zangu kasoro tunatofautiana tabia
Mr Rocky ya ngoswe muachie ngoswe ........

kwani vidumu ,small house,nyumba kubwa mnaruhusiwa kumiliki nyie tu.......
 
Last edited by a moderator:
KOKUTONA I hope aliishia mabegani tu hakwenda sehem nyingine......

Leo tutakubadilishia mtu bana

Allishia mabegani tuu.

Nilikuwa namkoaje makonzi.

Nibadilishieni bana...km hutojali leo niwekeeni mtu anayeitwa BAK nilinde naye.
 
Last edited by a moderator:
Bora umeingilia kati mke wangu....tumekubaliana kununua kwa watu8 na Bishanga ndio tutamjaribu kama acid inafanya kazi....
Bishanga kuwa makini ndugu yangu,na hiyo reception yako ilivyopinda sasa sijui ikiongezewa na tindikali itakuwaje.Watu wengine hawana hata huruma hawawezi kuona kama wewe ulishamwagiwa tindikali naturally!
Husijali bwana Bishanga mwanaume anasifiwa kwa kuingia bank sio sura!Wao wamwage lakini hela zako zinazowavutia wadada utabaki nazo!
 
Last edited by a moderator:
Hizo Heaven on earth ni zetu wenyewe hamruhusiwi kufika huko na hata nilipoweka kidumu huruhusiwi kukishika maana utamwagikiwa na acid yake


Elewa kuwa Heaven on earth ana aleji na wazungu na ashachoka na ngozi nyeusi hii
au dozi yako ya kichovu ndo maana anakimbia unamletea shombo tuu



:shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock: wacha mimi nikae kimya maana hapa nikiongeza neno nitaharibu zaidi



Mhhh huku unampeti peti Vin Diesel na huku unamwandalia grafani11 supu sikuelewi hivi unajua wote hao ni ndugu zangu kasoro tunatofautiana tabia

ungekuwa na tabia njema kama yangu ingekuwa safi sana....mama analalamika kila siku
 
Back
Top Bottom