COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Jana nilifungua huu uzi ukanigomea kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu si kwel kwamba uzi huwa hAufunguki ila kunamambo 2
1)aina ua sim unayotumia na virsion yake inawezA kuwa kikwazo
2)kwama unatumia application ya jf na ukawa umewah sit ya mbele(ume subscribe) ili usipAte shida ya kuutafutA hiyo pia yAweza kuwa shida nyingne..

suluhisho tumiA chrome kama utakuwa unAendeleA kupAtA shida..

asant
 
Nadhan tukio lililokua nyuma ya pazia ni kukamatwa kwa Osama Bin Laden...Na kwenye hilo tukio Obama alilazimika kutoonyesha aina yoyote ya anxiety au pressure so alitakiwa kuwa so normal ili kisihisiwe chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo pamoja mkuu
 
Mkuu social engineering inaendelea,tena kwa speed ya kutisha sana.COVID-19 agenda yake kubwa ni social engineering, aidha through fear or vaccines!

Social engineering
ni fani ya sayansi jamii ambayo inalenga kubadilisha tabia na mitizamo ya jamii husika kwa kiwango kidogo au kikubwa.Inaweza kufanywa na serikali,taasisi binafsi ndogo au za kidunia, kama New World Order, kwa kutumia vyombo vya habari(media) au direct contact.Hata hivyo zipo mbinu ambazo ni more covert.

Social engineering ikiwa kwa malengo maovu ni mbaya.Social Engineering inaweza kufanywa kwa kutumia soft power ya Hollywood au British Council.Hizi ni mbinu ambazo naweza kuziita za kistaarabu,ingawa ni mbaya.Zipo ambazo ni traumatic,kama kuwaletea watu hofu kwa kutumia C-19.Nia kubwa katika mbinu zote iwe kutumia Hollywood,British Council,au traumatic kama C-19,ni enslavement and domination under a one world government,nothing less.
 
Au ile ya kusajili laini kwa alama za vidole.
 
daaahh.... the bold uko wapiiiiiiiiiiiiiii
 
Au ile ya kusajili laini kwa alama za vidole.
Who knows,kale ka-gadget mahali unapoweka kidole chako kama ulivyosema kweli ni kwa ajili ya kusajili your mobile number,ila data zingine zinazokusanywa hatuzijui.Labda zipo na zinakuwa relayed to the Deep State.

Pia hatuna hakika kale kadubwasha unapoweka kidole chako kana impact gani kwenye mwili,hasa the brain.Kanaweza kuwa na effect kwenye brain,kwa maana kwamba kana badilisha tabia, mitizamo yako na your reasoning capacity,which of course is social engineering!So yea,all things are possible na hawa watu,you can never trust them for anything.
 
Shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumfuate kule whatsap!!!Lakini ile makala ya roman abramovich ilichora mwelekeo wa siasa za tanzania!!Ndo maana unaona ujasusi wa kiuchumi kwa matajiri wazawa hadi wanakufa kwa presha na matatizo mengine!!!!BADO NAMTAFUTA ROMAN ABRAMOVICH WETU HAPA NCHINI JE NI ROSTAM?MAKONDA?NANI? NA PUTIN WETU JE NI JIWE???NAJIULIZA BADO HADI SASA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…