COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Dah yaani mkuu unaadithia kama naangalia movie flani hivi la kijambazi... Heshima kwako... Next time usiache kunitag.... Natanguliza shukrani
 
Kwa waliosoma biology zipo sababu za kitu kuwa hai nazo ni naomba nizitaje kwa kizungu
1. Reproduction
2. Growth
3. Feeding
4. Respiration
5. Excretion
n.k hzo zitatosha hapo
Virus anaweza kuwa katika hali mbili yan hai au sio hai ni hai kwakuwa akiwa kwenye mazingira yanayoruhusu yan (when virusis in host body )anakuwa hai maana anatimiza sifa zote lakini akiwa nje anakuwa particle anakuwa mfu
 
Miongon mwa wafatiliaj wa ule uzi Ni Mello baada ya kuona alosto imemzid na mwandishi haonyesh ushirikiano akalazimika kumwaga ugali ili mwandish aonje ladha ya alosto kwa kubak na stor yake
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unit 15 ni weka mbali na watoto,muendelezo please!
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…