COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Vilaza mliharibu huu uzi maanina...siku nyingne msifanye mlivyofanya



The bold mkuu..sjawai ona mwamba kama wew .

Thumbs upppp.
 
Huyu ndiye Mwanamama Mtafiti na Mwanasayansi Yanging Ye. Hii picha nimeipiga mchana wa leo kwenye tovuti ya FBI. Unaweza kuitazama hata sasa kwenye kipengele cha watu wanaotafutwa (Most Wanted list).
Mwanamama huyu bado angali anatafutwa na FBI kutokana na masuala kadhaa ambayo FBI wanahitaji kumuhoji. Hasa, wanahisi alitumika ku-recruit wanasayansi wengine kadhaa. Lakini wasiwasi mkubwa zaidi wanahitaji kumuhoji kuhusi mradi wa kijeshi wa kibaolojia ambao waliona akijadili na wenzake wa NUDT walipodukua jumbe zake kwenye mtandao wa WeChat
View attachment 1487737

IMG_1260.png


Huyu mwingine kakamatwa juzi. Now naona connection @Habibu B. Anga
 
Mkuu the Bold uko vizuri sana. Asante kwa maarifa. Najifunza vingi kupitia makala zako.
Nina swali la kitofauti kidogo. Katika haya yote hakuna nafasi ya secret societies na Taasisi kubwa za kidini katika kuifanya dunia kuwa ya namna flani!!? Kuna dots nyingi zinanisumbua.
Cc Habibu B. Anga
 
Back
Top Bottom