#COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

#COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

Nimecheka sana! Mlenge kuna kitu kinaitwa kusoma, halafu kingine kuelewa. Ukisoma unaweza usielewe
Haitoshi kusoma tu, jitahidi kuelewa maana ya kile ulichokisoma.

Ni kuwa ikiwa kuna shaka dhidi ya vaccine kwanini kusiwe na shaka na vaccine zingine zinazotengenezwa na watu wale wale! Umeelewa.?
Laughter is the best medicine! 🙂

Sayansi ni ubishi.

Element is indivisible.
No, element ina atom ambazo ni indivisible.
No, atom zina elektroni, protoni na nyutroni.
No, pana sub-atomic particles...
No. Pana nyuzinyuzi na uyumkinikaji...
No...

Chanjo ya Korona inakuja kama dini:

COVID-Deniers.
Vaccine-deniers.
Mask-deniers.

Yaani vitu vipokelewe kama vilivyo bila kuhojiwa.

Inatakiwa hiyo chanjo ijadiliwe na kupingwa vikali, huku proponents wakipangua kila hoja, kwa sayansi. Not by appeal to authority. Not by kwamba nyie Waafrika mnajua hata kutengeneza sindano ya kushonea? Mbona mnakunywa dawa zetu zengine... Chanjo hizo ziachiwe ziwin on their own merits.
 
I share your personal strategies and I have tried to detach myself from traditional media outlets and the news from citizen media outlets such as twitter, WhatsaApp etc. I think the media outlets haven't helped the situation as every outlet now is looking for flash news to the point that effective information which could have helped the masses in this precarious period is buried under the garbage.

For example last week a video clip of JKT personnel circulated on WhatsApp. It shows the solders inhale steam in batches in a small specialized cabin. To me it was ridiculous for the following reasons. First of all, the solders in the picture were very young and super active. So inhaling the stream shouldn't be in their arsenal because they aren't in the risk category. Second, they are fairly educated people because they can't let you join the military if you don't have four form level education with some credits. Therefore, it isn't difficult for them to learn what is effective and what isn't, given the opportunity. Third, they live in a controlled environment with military discipline. So, it is easier in their environment to institute and control best practices that protect people. Four, they are secured as they know when their next meals will be and where they will sleep.

After seeing that, I felt that something is missing there. Those young solders should haven't gone through that process. For, inhaling stream is a therapy to help open up your respiratory system. But it can't beat the immune of young and active people.
Kabisa. Young people are almost exempt from the outbreak.

Taasisi kama majeshi, shule, hospitali, nk., zingetumia mbinu ya prophylaxis -- kuwapa dawa za kuzuia maambukizi ya korona watu wao. Dawa hizo ziko nyingi, na effective.
 
Inatakiwa hiyo chanjo ijadiliwe na kupingwa vikali, huku proponents wakipangua kila hoja, kwa sayansi. Not by appeal to authority. Not by kwamba nyie Waafrika mnajua hata kutengeneza sindano ya kushonea? Mbona mnakunywa dawa zetu zengine... Chanjo hizo ziachiwe ziwin on their own merits.
Huko duniani kila nchi inajadiliwa. Makampuni yote huombwa kufikisha takwimu zao za kitafiti

Tanzania tuna mamlaka zinazohusika. Kinachotakiwa ni kuyaambia makampuni yalete takwimu na sample halafu tufanye utafiti na kukubali au kupinga hizo vaccine kwa data na kisayansi siyo kwa maneno tu!

vivyo hivyo nasi tuonyeshe nyungu inatengenezwa na nini na inafanyaje kazi.
Halafu tuonyesha data za namna gani inafanya kazi kisayansi.
 
Huko duniani kila nchi inajadiliwa. Makampuni yote huombwa kufikisha takwimu zao za kitafiti

Tanzania tuna mamlaka zinazohusika. Kinachotakiwa ni kuyaambia makampuni yalete takwimu na sample halafu tufanye utafiti na kukubali au kupinga hizo vaccine kwa data na kisayansi siyo kwa maneno tu!

vivyo hivyo nasi tuonyeshe nyungu inatengenezwa na nini na inafanyaje kazi.
Halafu tuonyesha data za namna gani inafanya kazi kisayansi.

Let's get started!

Askari mmoja kati ya watatu wa majeshi ya Marekani hawataki chanjo.

Pfizer's former Vice President and Chief Scientist for Allergy and Respiratory Vaccines - Mike Yeadon says - most people should NOT take Covid vaccine. Kutoka kwa mmojawao watengeneza chanjo (wa zamani).

  • SV40 is a virus found in some species of monkey.
  • SV40 was discovered in 1960. Soon afterward, the virus was found in polio vaccine.
  • More than 98 million Americans received one or more doses of polio vaccine from 1955 to 1963 when a proportion of vaccine was contaminated with SV40; it has been estimated that 10–30 million Americans could have received an SV40 contaminated dose of vaccine.
  • SV40 virus has been found in certain types of cancer in humans, but it has not been determined that SV40 causes these cancers.

Web Translator (Translated) : 69 Swedes dead after corona vaccination. 69 svenskar döda efter coronavaccinering


One vaccine was deemed less effective than natural immunity after someone gets sick.



Kwani hizo Vaccine ziko CDC Approved?


 
Huwezi kupinga chanjo ya Corona kutoka Ulaya halafu ukakubali chanjo ya surua (measles), DPT, Polio etc kutoka Ulaya!!
Kinachopingwa siyo chanjo bali uharaka uliotumika kuitengeneza. We umesikia wapi chanjo inafanyiwa uchunguzi, majaribio, uhakiki na kuanza kutumika rasmi chini ya mwaka mmoja?
 
One vaccine was deemed less effective than natural immunity after someone gets sick.
Watu wengi huwa wanapata flu kwasababu ya kuchomwa haya machanjo (ya flu) kila mwaka. Huwa yanaingilia mfumo wa kinga wa asili na hivyo kumfanya mtu awe rahisi kupatwa na madhara. Mimi huwa nayapinga sana haya madudu na kwakweli huwa sipatwi na flu.

Mwanangu mmoja alipokuwa mdogo mama yake alimpeleka kupata chanjo ya flu, baada ya siku mbili kaliumwa sana na baadae wote tukapata flu, nilimwambia mwenzangu akome kumpeleka tena kupiga hayo machanjo ya flu. Toka kipindi hicho mpaka leo hajawahi kuumwa tena.
 
Where did you find that information which says that Boris John doesn't his family to take the vaccine? His father was inoculated. Does he count as a member of his family?

Do you have the count from Tanzania?
Tanzania hasn't given more data since the suspension last year. That said, Covid-19 hasn't killed as many people like UK or USA - (comparatively to its population).

The information is from Westminster talk.
 
Tanzania hasn't given more data since the suspension last year. That said, Covid-19 hasn't killed as many people like UK or USA - (comparatively to its population).

The information is from Westminster talk.
Swali unapinga vipi data bila kuwa na data? Hakuna data !
 
Kinachopingwa siyo chanjo bali uharaka uliotumika kuitengeneza. We umesikia wapi chanjo inafanyiwa uchunguzi, majaribio, uhakiki na kuanza kutumika rasmi chini ya mwaka mmoja?
Rudi nyuma ukatafute nyuzi niliyoeleza kuhusu sequencing, Dr Koch na Dr Jenner.

Kasome vaccine na ugunduzi wake kuanzia 1700 kabla hujaandika kitu.

Nikuulize viswali kadogo tu, kwani vaccine inachukua muda gani kuwa developed?
Kuna aina zipi za vaccine?

Hiyo vaccine ya Polio uliyotumia na ile ya surua na DPT zilitengenezwa kwa muda gani?
 
Let's get started!

Askari mmoja kati ya watatu wa majeshi ya Marekani hawataki chanjo.

Pfizer's former Vice President and Chief Scientist for Allergy and Respiratory Vaccines - Mike Yeadon says - most people should NOT take Covid vaccine. Kutoka kwa mmojawao watengeneza chanjo (wa zamani).



Web Translator (Translated) : 69 Swedes dead after corona vaccination. 69 svenskar döda efter coronavaccinering


One vaccine was deemed less effective than natural immunity after someone gets sick.

Kupata hizi habari za mitandaoni kuna tatizo sana. Habari hizi zimeondoa uwezo wa kawaida wa watu kufikiri
Mtu akipata habari hana haja ya kutafiti anafikiri ni ukweli.

Mlenge kuna Anti-vaxxers na Deniers. Haya ni makundi mawili tofauti kabisa

Niishie hapo
 
Kupata hizi habari za mitandaoni kuna tatizo sana. Habari hizi zimeondoa uwezo wa kawaida wa watu kufikiri
Mtu akipata habari hana haja ya kutafiti anafikiri ni ukweli.

Mlenge kuna Anti-vaxxers na Deniers. Haya ni makundi mawili tofauti kabisa

Niishie hapo
Tofauti yao ni nini hao Anti-vaxxers and Deniers? Internet tulio mbali na eneo la tukio ndio njia yetu kuu ya kupata taarifa. Je, si kweli kwamba theluthi ya wanajeshi wa Marekani waliokuwamo kwenye sampuli iliyoripotiwa hawakutaka kuchanjwa?
 
Tanzania hasn't given more data since the suspension last year. That said, Covid-19 hasn't killed as many people like UK or USA - (comparatively to its population).

The information is from Westminster talk.

My question was simple and direct. What's the source of your information which says that the PM of UK doesn't want his family to take covid jabs? I want to see the source so I can verify whether that is true or not and if it true , in what context the PM uttered that statement. As you know very well, the the internet is full of garbage and for my own sanity, it will be better if I verify the source and try to dig out the facts.

Now with regard to what you have said above, the entire African continent faired well in the first wave. So it isn't time for national celebration to show the world that we have done much better than our former colonial masters or the world super power. If I ask you how many people tested positive and how many died, you will not have the number? So, how do you compare Tanzania and the UK when you haven't collected data from Tanzania?
 
Watu wengi huwa wanapata flu kwasababu ya kuchomwa haya machanjo (ya flu) kila mwaka. Huwa yanaingilia mfumo wa kinga wa asili na hivyo kumfanya mtu awe rahisi kupatwa na madhara. Mimi huwa nayapinga sana haya madudu na kwakweli huwa sipatwi na flu.

Mwanangu mmoja alipokuwa mdogo mama yake alimpeleka kupata chanjo ya flu, baada ya siku mbili kaliumwa sana na baadae wote tukapata flu, nilimwambia mwenzangu akome kumpeleka tena kupiga hayo machanjo ya flu. Toka kipindi hicho mpaka leo hajawahi kuumwa tena.

The population of mainland Tanzania was about 11 milioni in 1961. Today the population is between 50Mil and 60Mili. One of the factors that contributed to this rapid growth of population is the vaccination of children. So, you can't says vaccines are all bad while you enjoy its benefits.
 
The population of mainland Tanzania was about 11 milioni in 1961. Today the population is between 50Mil and 60Mili. One of the factors that contributed to this rapid growth of population is the vaccination children. So, you can't says vaccines are all bad while you enjoy its benefits.
You're trying to paint all vaccines in one big broad brush. We're specifically talking about Covid vaccine(s) and arguing why it was rushed to the market, without having to go through a thorough review. It was reported today that, pfizer and moderna vaccines are useless against South Africa variant, what's your take on that?

 
Vaccine development ni matokeo ya Technology. Siku za nyuma vaccine zilitengenezwa kutoka katika 'live attenuated organisms' au kutoka katika toxin zake. Development ya live attenuated ina challenge nyingi hasa kuhakikisha wadudu hao wanabaki katika hali yake. Pamoja na hayo hata administration yake ilikuwa na challenges pia. Kwa mfano ilibidi kuangalia watu wenye ''comorbidity'' immune compromise etc

Miaka 10 iliyopita wanasayansi wakafikiria kutumia sehemu ya protein ya mdudu na hapa kwa virus ni 'RNA'
Hiyo inatosha ku-stimulate immunity bila kuwa na shaka na comorbidity au immuno-suppression conditions

Covid ilipotokea ilikuwa ni opportunity ya kutumia technology iliyokuwa 'in the making' ndiyo maana imekuwa haraka sana. Lakini pia Technology imesaidia sana kupata protein inayotakiwa kwa muda mfupi na kutengeneza millions of doses kwa muda mfupi sana.Hivyo vaccine ya RNA Technology ilikuwa katika process miaka 10 kabla
Tatizo siyo tekinolojia ya kutengeneza chanjo haraka bali muda wa kutosha wa kuifanyia majaribio ili kuona kama haina madhara baada ya muda fulani. Tumeshaona chanjo zote za Moderna, pfizer na AstraZeneca zinapunguza uwezo wa kinga ya mwili, kwa kile kirusi kilichobadilika kule Afrika kusini. Kama wangekurupuka kupiga watu chanjo kule unafikiri nini kingetokea?
 
I hear you. But we might be in a situation in which the vaccine wouldn't provide a long lasting protection against the disease. Take for example the flu vaccine. Each year you have to go and get a new flu vaccine because the mutation of virus makes previous vaccines obsolete. Now, if the mutation characteristics of corona virus resemble those of flu, waiting might not be a good option. I think sometimes it is better to learn as you move along
... and that's another problem with vaccines, once in the body they can't adapt to a new stimuli while the immune cells can. So, it makes sense to invest in enabling our body with resources that would enhanced our immune system.
For example, I see very health young people being nyungulized. This group of people has a robust immune system which work very well against covid. So what is the point of doing this? It is like prescribing a 50 years old woman birth control pills.
You can't be too careful, we're still learning about this virus. What if some months later, we find that the virus actually remain dormant in young bodies but may reactivate and replicate years later.
Isn't the same people who inhale hot steam everyday to clean their lungs from covid virus? Tanzanians are notorious for looking medical shortcuts.
I hope you understand that any virus contain Capsid protein and proteins get denatured at high temperatures due to molecules increase in kinetic energy. So inhaling steam helps to break up one of virus building blocks.
Kujifukiza doesn't improve one's immune system. It can be used as a therapy to shorten the recovery period but I don't think it helps that much. With regard to personal hygiene, this is an airborne disease and I don't think the virus cares about that.
There are few studies that were done in the effect of Allicin (compound found in garlic) on virus, bacteria and fungi. Samples of garlic juice were taken "in vitro" and found to be able to kill viruses and bacteria instantly (ref sciencedirect).

When garlic juice full of allicin is aerosolized and enters the alveoli (air sac) through the nasal passageway, it kills every microorganism it encounters due to many properties it contains, including hygroscopic. Some bacteria and viruses need some wetness to replicate (the reason flu is prevalent in cold seasons), the presence of garlic prevents that from happening.

Once allicin gets in the alveoli it goes straight into the circulatory system and eventually to every cell in the body, within seconds. Its Immunomodulation property enables the immune system to be on super alert mode and that's what some refers to it as the improvement of the immune system.

Allicin has vasodilator property (widening of blood vessels) which lowers blood pressure. On the other hand hypertension activates the release of cortisol hormone (stress) which has the tendency to suppress the immune system, allicin acts like a double edged sword to reverse that.

Last but not least, allicin also has anticoagulant property (prevent blood clot). Autopsies of covid-19 patients revealed that most had blood clots in their lungs and other vital organs. I am a Covid - 19 survivor and I had first hand experience of how much painful Corona is. I'm talking about muscle aches, fatigue and chest pain, the virus causes due to microemboli (tiny blood clots). Crushing two cloves of garlic and drinking it after mixing with a glass of water would save a lot of peoples lives. (ref Autopsies indicate blood clot are lethal in Covid 19)

You won't hear much about these studies or the benefits of garlic on your favorite news channel because it's bad business, you can't patent garlic.

ref : effects of garlic on viruses
 
You're trying to paint all vaccines in one big broad brush. We're specifically talking about Covid vaccine(s) and arguing why it was rushed to the market, without having to go through a thorough review. It was reported today that, pfizer and modena vaccines are useless against South Africa variant, what's your take on that?


I am not trying to paint all vaccines with the same brush. I was talking the benefits of vaccination. In short period of its existence, this type of preventive health care has saved more lives than any other form of preventive medication you know. Besides, it has contributed to the quality of life we enjoy. Therefore, when we try to argue its merit, we should come up with concerns that make sense. Otherwise we look like primitive fools.

With regards to pfizer and moderna, the articles you have referred to indicate the reduction of antibody when those vaccines are testing against the South Africa variant in lab setting. This is a real concern and a debate we should have because those vaccines will provide little or no protection in area where variant is prevalent.

However, we Tanzanians we shouldn't use this revelation to bash those who have spent their money, time and other resources to discover the covid vaccines because we have contributed nothing in this efforts. As a society, we can't stand on sidelines and waiting for other people to fail. We should be active participants.
 
Tatizo siyo tekinolojia ya kutengeneza chanjo haraka bali muda wa kutosha wa kuifanyia majaribio ili kuona kama haina madhara baada ya muda fulani. Tumeshaona chanjo zote za Moderna, pfizer na AstraZeneca zinapunguza uwezo wa kinga ya mwili, kwa kile kirusi kilichobadilika kule Afrika kusini. Kama wangekurupuka kupiga watu chanjo kule unafikiri nini kingetokea?
Stop ! crap !hujui kitu.

Unajua mutation? Unajua replication? Unajua gene coding?

Huko South Africa hawajapata chanjo ya Pfizer au Modena.

Hujui kitu kaa kimya ujifunze! utaelewa zaidi kuliko kubwabwaja. Inasikitisha sana
 
The population of mainland Tanzania was about 11 milioni in 1961. Today the population is between 50Mil and 60Mili. One of the factors that contributed to this rapid growth of population is the vaccination of children. So, you can't says vaccines are all bad while you enjoy its benefits.
Not only that, ugunduzi wa Dr Jenner unatajwa kuwa ugunduzi uliookoa maisha ya wanadamu kuliko ugunduzi wowote uliofanyika, unaofanyika hadi sasa.

Moja ya vitu vinavyoongeza population na life expectancy ni Healthcare.
Katika hilo kuna primary, secondary and tertiary healthcare

Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizokuwa katika mpango wa WHO wa EPI (Essential program in Immunization)
Chanjo imeokoa sana maisha hasa watoto.

Zakumi hawa watu wanashangaza sana, wanasema vaccine ni mbaya wakati wao wamepata ya measles, Diptheria, Pertuissis and Tetanus(DPT) na Polio na zamani small pox

Ugonjwa wa small pox (Ndui) umeua watu wengi sana dunia, lakini chanjo imefanikiwa kuufuta kabisa

Sasa argument kwamba vaccine ya Corona ni mbaya na ina lengo baya kwetu ni DOA (Dead on arrival)
Kama wanataka kumaliza population watatumia chanjo nyingine za watoto n.k. ! ha ha ha

Halafu kuna wanosema Chloroquine na Ivermectin, bila kujua zinatengenezwa na wazungu

Kitu kimoja nimejifunza, kuna kusoma halafu kuna kuelimika. Hivi ni vitu tofauti kabisa
Watanzania tuna tatizo katika elimu. Mfumo wetu wa elimu hauruhusu kufikiri na ni rahisi sana kuwa manipulated .
 
... and that's another problem with vaccines, once in the body they can't adapt to a new stimuli while the immune cells can. So, it makes sense to invest in enabling our body with resources that would enhanced our immune system.

You can't be too careful, we're still learning about this virus. What if some months later, we find that the virus actually remain dormant in young bodies but may reactivate and replicate years later.

I hope you understand that any virus contain Capsid protein and proteins get denatured at high temperatures due to molecules increase in kinetic energy. So inhaling steam helps to break up one of virus building blocks.

There are few studies that were done in the effect of Allicin (compound found in garlic) on virus, bacteria and fungi. Samples of garlic juice were taken "in vitro" and found to be able to kill viruses and bacteria instantly (ref sciencedirect).

When garlic juice full of allicin is aerosolized and enters the alveoli (air sac) through the nasal passageway, it kills every microorganism it encounters due to many properties it contains, including hygroscopic. Some bacteria and viruses need some wetness to replicate (the reason flu is prevalent in cold seasons), the presence of garlic prevents that to happen.

Once allicin gets in the alveoli it goes straight into the circulatory system and eventually to every cell in the body, within seconds. Its Immunomodulation property enables the immune system to be on super alert mode and that's what some refers to it as the improvement of the immune system.

Allicin has vasodilator property (widening of blood vessels) which lowers blood pressure. On the other hand hypertension activates the release of cortisol hormone (stress) which has the tendency to suppress the immune system, allicin acts like a double edged sword to reverse that.

Last but not least, allicin also has anticoagulant property (prevent blood clot). Autopsies of covid-19 patients revealed that most had blood clots in their lungs and other vital organs. I am a Covid - 19 survivor and I had first hand experience of how much painful; muscle aches, fatigue and chest pain the virus causes due to microemboli (very small blood clots). Crushing two cloves of garlic and drinking it after mixing with a glass of water would save a lot of peoples lives. (ref Autopsies indicate blood clot are lethal in Covid 19)

You won't hear much about these studies or the benefits of garlic on your favorite news channel because it's bad business, you can't patent garlic.

ref : effects of garlic on viruses

First, I am very sorry to hear what you have gone through. The disease killed my father, and some of my siblings are recovering from it. And the condition they describe are the same as yours. So, I don't take it lightly when I discuss covid-19. In one way or another it has changed my life.

Where I live, the covid-19 was rampant and has killed a sizable number of people. However, the health care system here is robust and that helped tremendously. Otherwise the situation could have been worse . Additionally, the data collection system here is very advance and has helped to identify some key variables which drive the preventive measures and resource allocation.

For example when you analyze the data we have collected here, you will get a picture of where disease has caused havoc demographically and what kinds of resources should be applied. Therefore, I think when we promote the use of any method, we should factor in various demographics in the society such age groups, gender groups and so forth. It dishearten me to see the minister of health doing the promotion of nyungu as if therapy is effective to people in advance age group or with preexisting medical condition.

As we know, the first line of defense is your own immune system. And it's this system that has helped many people recovery from covid19 and other diseases. For example, if you have looked at the data, young health people who have contracted covid 19 have faired very well compared to other demographic groups. Even health young people who haven't used garlic juice or a steamer of some sort have recovered well.

Not get me wrong, I know the value of nyungu. I know that garlic has some nutrition and medical values. However, I am very skeptical on the way we treat the disease. Take for example Maalim seif and Balozi Kijazi...they were above sixty. I know Maalim seif had some preexisting medical issues. I don't much about Dr. Kijazi but he's a bit heavier..... so my question is do we prescribe the same therapies (garlic and nyungu) to people who are in a risk category?
 
Back
Top Bottom