COVID-19 na anguko la Shule za English Medium

COVID-19 na anguko la Shule za English Medium

Sijawai kuona engineer au dokta aliyesoma hizo international zenu.. ama country bet student A level aliyesoma hizo english medium..

Hata best students wa vyuo vikuu kila mwaka ni zao la kayumba
Labda hao unaokutana nao ni wa hizo level zako ila kama Tusiime madaktari na ma engineer wengi tu na wengi wao hawaji kusoma huko vyuo vya kata na kuja kuhangaikia kazi na wakina St.Kayumba hao unaokutana nao ndo wa level zako ila waliokuzidi hujakutana nao........nakupa mfano mwingine tena unamjua Lucylight Malya? Zawadi Mdoe?
 
Dumelang,
We umesoma English Medium hadi umekuwa Doctor halafu Baba ako aliekusomesha anakufa Kwa Corona. English medium imekusaidia nini.

Halafu kumsomesha mtoto wako English medium wakati unakaa uswahilini NI ukhanithi Tu cause mtoto akirudi shule rafiki zake NI hao hao uswazi so kwenye ishu ya mental build up tayari umefeli.

Nunua nyumba Masaki kabla hujafikiria kumpeleka mtoto wako English Medium
 
LIKUD
Mbona huwa unazipondea sana shule binafsi?.
Kama una uwezo wa kumpeleka mtoto shule binafsi mpeleke, usifiche ubahili wako kwa kuangalia loop holes zilizopo kwenye shule hizo.
Huyu jamaa ana matatizo yake binafsi na hizo shule.

Labda kashindwa kumlipia ada binti yake aliyewahi kuleta mada ya kumtafutia shule ya private humu.
 
Labda hao unaokutana nao ni wa hizo level zako ila kama Tusiime madaktari na ma engineer wengi tu na wengi wao hawaji kusoma huko vyuo vya kata na kuja kuhangaikia kazi na wakina St.Kayumba hao unaokutana nao ndo wa level zako ila waliokuzidi hujakutana nao........nakupa mfano mwingine tena unamjua Lucylight Malya???Zawadi Mdoe??

Cheki unavyowatafuta kwa shida.. ningekwambia wataje wa kayumba.. ungewapata zaidi ya 100.. maana kila mwaka wanaongoza vyuo vikuu vyote vya uma.. na hata a level
 
Huyu jamaa ana matatizo yake binafsi na hizo shule.

Labda kashindwa kumlipia ada binti yake aliyewahi kuleta mada ya kumtafutia shule ya private humu.
My daughter is at std seven now. Hata kama nimeshindwa kulipa Ada there is nothing I can do cause njoo Jua njoo mvua mtoto lazima amalize kwenye shule hiyo hiyo.

I was asking for a good private secondary school for a girl which means naanza kufanya maandalizi mapema.

Mimi nipo aganist na shule za English Medium za less than ten million.

To my opinion English medium yenye Ada ya shilingi Milioni Nne au Tano Kwa mwaka is as good as St Kayumba.

Kuwa na pesa ni kitu Kingine na kuitumia pesa hiyo ni kitu Kingine.

Inaonekana mkuu wewe Una amini MTU anae piga mateke bar ana hela nyingi kuliko wasio piga mateke.

# kupiga mateke = kuzungusha round
 
Sijawai kuona engineer au dokta aliyesoma hizo international zenu.. ama country bet student A level aliyesoma hizo english medium..

Hata best students wa vyuo vikuu kila mwaka ni zao la kayumba
Sasa wee unadhani wa ist atasoma udsm... Wao wakimaliza wanachumpa majuu mkuu so hutawaona vyuo vya hapa bongo
 
Sasa wee unadhani wa ist atasoma udsm... Wao wakimaliza wanachumpa majuu mkuu so hutawaona vyuo vya hapa bongo

Hivi ukiongelea english medium na ist unaiweka... humu jamiiforums kuna member hata mmoja ambaye amesoma IST ama anasomesha mwanae IST?

IST haiwezi kutetereka na corona...soma juu ya uzi.. shule ambazo tunazijadili humu ni zile level za kati...kama tusiime....

Narudia tena humu jamiiforums sizani kama kuna member hata mmoja anaesomesha mtoto IST , na hata kama yupo hana muda wa kushinda jamiiforums yupo busy na biashara zake
 
Sijawai kuona engineer au dokta aliyesoma hizo international zenu.. ama country bet student A level aliyesoma hizo english medium..

Hata best students wa vyuo vikuu kila mwaka ni zao la kayumba
Afadhali umeandika hujawahi kuwaona

Lakini engineers wapo waliosoma international schools....wengi
 
Naona kinachokuuma sana ni kwamba una ndugu, marafiki, majirani... wanaopeleka watoto English medium wakati wako waenda Kayumba. That is your main message here.

Unaamini katika kifo cha wengi harusi. siyo? Peleka wako Kayumba and save money ili siku ukiondoka uzikwe nazo. Tutakula majani lakini watoto wasome vizuri. Ndio maana ya kuwa mzazi hiyo.
LIKUD,
 
Hivi ukiongelea english medium na ist unaiweka... humu jamiiforums kuna member hata mmoja ambaye amesoma IST ama anasomesha mwanae IST?

IST haiwezi kutetereka na corona...soma juu ya uzi.. shule ambazo tunazijadili humu ni zile level za kati...kama tusiime....

Narudia tena humu jamiiforums sizani kama kuna member hata mmoja anaesomesha mtoto IST , na hata kama yupo hana muda wa kushinda jamiiforums yupo busy na biashara zake
Nakupa ushauri tu mkuu. Ukitaka kuwa na nyumba bora na imara hakikisha umeweka/umejenga msingi imara. Nafikiri umenielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kosa kusomesha mtoto shule bora kama uwezo upo, mazingira ya shule za government ni vile hakuna namna nyingine ila si rafiki kwa elimu bora , mtoto anaingia darasa moja wako 130 unaweza vipi linganisha na wale wapo 45 had 35 ?,pia T.I.D unae msema kasoma Shabarn Robert Upanga fanya tafiti zako vizur acha udaku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo sasa ndio moyo wa mzazi. Hata mnyama hujitahidi kwa ajili ya watoto wake. Sembuse binadamu? Kama unaficha pesa huku watoto wako wakiteseka wewe ni chini ya mnyama kabisa.
live on,
 
Naona , mnaendelea kupiga ramli. Mtoto kumsomesha kayumba nikujitaftia matatizo.
Binafsi nimegundua kuwa shule za English medium zinawawezesha wanafunzi wawe wazuri angalau kwenye spoken English lakini kwenye written English uwezo wao ni mdogo mno...halafu pia ni wavivu kujisomea...
 
live on,
Pole sana. ila hamna secondary ya kayumba. Sekondari hadi vyote vyote ni sawa kwa maana ya mtaala except mtaala wa Cambridge
 
Back
Top Bottom