GRANITE II
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 540
- 965
Best student? Bro bado upo chuo nn....huku kitaa hatuangaliagi best students sijui T.O wa kukariri madesa acha corona ipite ukamalize shule (I assume that) uje kitaa na u - T.O wako sijui u best studentCheki unavyowatafuta kwa shida.. ningekwambia wataje wa kayumba.. ungewapata zaidi ya 100.. maana kila mwaka wanaongoza vyuo vikuu vyote vya uma.. na hata a level
Back to main topic m nimesoma Kayumba ila siwez kubali dogo rasi nae apite mule mule