mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
bahati mbaya mkuu wangu,wengi wa vijana hapa wamekuelewa vibaya.
Eng medium sio shule mbaya ni nzuri kama una uwezo,lakini sio ticket ya kupata network itakayokusaidia kutoboa maishani,wengi network wanazitoa kwa wazazi wao ambao kama si wafanyabiashara,basi ni wanasiasa wakubwa. mtoto anasoma shule ya pesa akijua kabisa nafasi fulani inanisubiri nikimaliza shule.
wewe mwenzangu namimi fata mkumbo ukiwa umekariri kwamba mtoto akisoma hapo atajua yai la mbuni na lazima atapata connection,amalize aje asubirie ajira umefeli tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eng medium sio shule mbaya ni nzuri kama una uwezo,lakini sio ticket ya kupata network itakayokusaidia kutoboa maishani,wengi network wanazitoa kwa wazazi wao ambao kama si wafanyabiashara,basi ni wanasiasa wakubwa. mtoto anasoma shule ya pesa akijua kabisa nafasi fulani inanisubiri nikimaliza shule.
wewe mwenzangu namimi fata mkumbo ukiwa umekariri kwamba mtoto akisoma hapo atajua yai la mbuni na lazima atapata connection,amalize aje asubirie ajira umefeli tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app