Mimi nimesoma kata. Nilipata Div.01. Shule za kata wanapata Div. one. Mwaka jana kuna mwanafunzi wa Sekondari ya kata kapata A-9 huko Simiyu.Masihara hayo utamfananisha mtoto anaesoma secondary ya kata na mtoto anae soma Royora au Asante Anthony
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya mbona madaktari wao weupe tu kichwani , wanaishia form 4 tu wanaenda vyuo, kwanza hawawezi msuli wa advance hawana advance wale wanajikongoja tu wakikutana na watanzania vyuo vya njeAcheni kabisa kulinganisha kayumba na english medium. Mental development Activity zilizoko english medium ni kubwa sana kulinganisha na huko kayumba mnakosema.
Mtu anasema kasoma kayumba na bado kawa daktari au engeneer kwa udaktari gani ulio nao na ui engeneer wa kukariri
90% ya graduate wa kayumba wamekariri hata barua ya kazi mtu ana Google, wengi mnajifunzia kazi kazini, watu ni weupe sana, graduate wa sheria, uhasibu mchukie leo mpeleke ofisini mpe kazi uone
Haya ninyi madaktari wa kayumba mmesaidia nini nchi hata sasa kwenye mlipuko wa magonjwa mnakimbia wagonjwa.
Kwanza ulisikia lini aliesoma kayumba, kamaliza kidato cha nne akapata scholarship direct kwa credible college/university ulaya? Kayumba Uta Hustle weee mpk ufike level ya Masters ndio uanze kuomba tu vyuo nje lkn wanao mapiza feza na kunakofanana na huko kacheki uwezo wao huko na scholarship zinavowatembelea, na wengi wanafanya kazi hukohuko
Madaktari wa Tanzania hata Kenya haiwataki (kayumba)
Dumelang
Hivi ukiongelea english medium na ist unaiweka... humu jamiiforums kuna member hata mmoja ambaye amesoma IST ama anasomesha mwanae IST?
IST haiwezi kutetereka na corona...soma juu ya uzi.. shule ambazo tunazijadili humu ni zile level za kati...kama tusiime....
Narudia tena humu jamiiforums sizani kama kuna member hata mmoja anaesomesha mtoto IST , na hata kama yupo hana muda wa kushinda jamiiforums yupo busy na biashara zake
T.I.D kasoma kayumba gani!!?Naliona anguko la shule za English Medium Tanzania.
Naona wazazi wengi wakiwatoa watoto wao kwenye shule za English Medium na kuwapeleka kwenye shule za kayumba.
Sababu? Sababu ni zile zile
1. Uhaba wa fedha: Wazazi wengi wataishiwa fedha na hivyo kushindwa kumudu gharama za kuwasomesha watoto wao kwenye shule za English Medium
2. Tukio la kustukiza la Corona limewafundisha watu wengi Somo moja kubwa Sana kwamba maisha yanaweza kubadilika wakati wowote na hivyo ni muhimu kuwa na akiba ya pesa na chakula cha kutosha wakati wote ili linapotokea tukio la dharula kama hili la Corona basi wasi hangaike.
Kwa hivyo basi Wazazi wengi wataanza kuona umuhimu wa kujiepusha na matumizi makubwa ya pesa yasiyo ya lazima.
Kutumia Milioni 5 Kwa mwaka kumsomesha mtoto kwenye shule ya kiingereza ili upate fahari ya kusifiwa mtaani kwenu unamsomesha mtoto wako kwenye shule ya mamilioni wakati ungeweza kumsomesha kwenye shule ya kayumba halafu ukamfanyia thoroughly and extensive academic management Kwa gharama kidogo ni.matumizi ya pesa yasiyo kuwa ya lazima.
Kulipa mamilioni kwenye English Medium ili Tu uone fahari mtoto wako aki kuiteni " Daddy and Mom" au akijua kutumia You Tube at age 3 ni matumizi mabaya ya fedha cause hivyo vitu hata watoto wa shule ya kayumba wanaweza kufanya.
Kama ni kuongea kiingereza hata Tid na Q chila wanaongea kiingereza Lakini hawakusoma English Medium.
Matter of fact TID who went to Kayumba speak better and fluent English than P. Funky Majani who went not only to an English Medium School but to an International School of Tanganyika.
So Watanzania wengi wataanza kuji budget now.
3. Kwa sababu ya conspiracy theories nyingi kuhusu Covid 19 kuna kundi kubwa Sana la Wazazi ambao wame subscribe into the theory . Na Kwa sababu ya hofu dhidi ya theories mbalimbali kuhusu Covid kama vile ID2020, 5G etc Wazazi wengi wamekata tamaa and they be like kama Mambo yenyewe ndio haya there is no hope for the future, kuwasomesha watoto English Medium ni kupoteza pesa Tu bure na kujistress.
4. Lipo kundi kubwa la Wazazi ambao lime subscribe kwenye nadharia kwamba tukio la covid 19 ni ishara ya kukaribia kurejea Kwa masiha. Rejea ishu ya Id2020 ilitabiriwa kwenye ufunuo. So they will be like hakuna umuhimu wa kutoa mamilioni shule za kiingereza wakati there is no hope for the future.
5. Lipo kundi la Wazazi ambao walikuwa wanawapeleka watoto wao shule za English Medium kwa sababu ya mkumbo huku wakiumia so watatumia tukio la covid 19 kama excuse ya kuwatoa watoto wao from St schools na kuwapeleka kayumba.
Wamiliki wa shule za English Medium jiandaeni kisaikolojia
Akili za kimasikini hizi.Naliona anguko la shule za English Medium Tanzania.
Naona wazazi wengi wakiwatoa watoto wao kwenye shule za English Medium na kuwapeleka kwenye shule za kayumba.
Sababu? Sababu ni zile zile
1. Uhaba wa fedha: Wazazi wengi wataishiwa fedha na hivyo kushindwa kumudu gharama za kuwasomesha watoto wao kwenye shule za English Medium
2. Tukio la kustukiza la Corona limewafundisha watu wengi Somo moja kubwa Sana kwamba maisha yanaweza kubadilika wakati wowote na hivyo ni muhimu kuwa na akiba ya pesa na chakula cha kutosha wakati wote ili linapotokea tukio la dharula kama hili la Corona basi wasi hangaike.
Kwa hivyo basi Wazazi wengi wataanza kuona umuhimu wa kujiepusha na matumizi makubwa ya pesa yasiyo ya lazima.
Kutumia Milioni 5 Kwa mwaka kumsomesha mtoto kwenye shule ya kiingereza ili upate fahari ya kusifiwa mtaani kwenu unamsomesha mtoto wako kwenye shule ya mamilioni wakati ungeweza kumsomesha kwenye shule ya kayumba halafu ukamfanyia thoroughly and extensive academic management Kwa gharama kidogo ni.matumizi ya pesa yasiyo kuwa ya lazima.
Kulipa mamilioni kwenye English Medium ili Tu uone fahari mtoto wako aki kuiteni " Daddy and Mom" au akijua kutumia You Tube at age 3 ni matumizi mabaya ya fedha cause hivyo vitu hata watoto wa shule ya kayumba wanaweza kufanya.
Kama ni kuongea kiingereza hata Tid na Q chila wanaongea kiingereza Lakini hawakusoma English Medium.
Matter of fact TID who went to Kayumba speak better and fluent English than P. Funky Majani who went not only to an English Medium School but to an International School of Tanganyika.
So Watanzania wengi wataanza kuji budget now.
3. Kwa sababu ya conspiracy theories nyingi kuhusu Covid 19 kuna kundi kubwa Sana la Wazazi ambao wame subscribe into the theory . Na Kwa sababu ya hofu dhidi ya theories mbalimbali kuhusu Covid kama vile ID2020, 5G etc Wazazi wengi wamekata tamaa and they be like kama Mambo yenyewe ndio haya there is no hope for the future, kuwasomesha watoto English Medium ni kupoteza pesa Tu bure na kujistress.
4. Lipo kundi kubwa la Wazazi ambao lime subscribe kwenye nadharia kwamba tukio la covid 19 ni ishara ya kukaribia kurejea Kwa masiha. Rejea ishu ya Id2020 ilitabiriwa kwenye ufunuo. So they will be like hakuna umuhimu wa kutoa mamilioni shule za kiingereza wakati there is no hope for the future.
5. Lipo kundi la Wazazi ambao walikuwa wanawapeleka watoto wao shule za English Medium kwa sababu ya mkumbo huku wakiumia so watatumia tukio la covid 19 kama excuse ya kuwatoa watoto wao from St schools na kuwapeleka kayumba.
Wamiliki wa shule za English Medium jiandaeni kisaikolojia
Kwa hiyo unashauri nini?Sijawai kuona engineer au dokta aliyesoma hizo international zenu.. ama country bet student A level aliyesoma hizo english medium..
Hata best students wa vyuo vikuu kila mwaka ni zao la kayumba