Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idadi ya vifoUkweli upi sasa mkuu Wakati wa mitandaoni wote tuko salama?
Dah. Yule jamaa aliyekuwa anasema TZ ni ya kuigwa kwa kupambana na Corona joto la jiwe yupo wapi? Ama alipata corona na kutuwacha? Yaani kuna watu walikuwa wanatutusi kila siku.Ujiranini kusini mwa Kenya kunateketea. Visa 196 vipya vya maambumbikizi ya korona vyariopotiwa kwa mpigo.
yaani we jamaa hamnazo kabisa, serikali yako haipimi mtu akiwa mzima lakini inapima mtu akishakufa na inazuia mwili, sasa jiulize maiti zilizozuiliwa na serikali ni ngapi mpaka sasa, mtaani kwetu zilizuia 2 na hata ndugu hawakuruhusiwa kuona mwiliNaona ushajiandaa kufanya unabiii sasa huoni pa kuanzia. Vipi kuna wa familia yako wamesahaulika?
Kwa hiyo wewe unaombea wengine mabaya siyo? Basi ugua na wewe idadi iongezeke au hata wanafamilia yako km unataka idadi kubwa.
Wamepona 167 na wamebaki 296 na vifo 16.Na waliopona wangapi hivyo wagonjwa wamebaki wangapi
Heshimu taaluma za watukweli wewe mwalimu wa tuisheni😀
Tuna rais mwenye akili kuliko watu wote duniani na ndo maana alikuwa mwalimu wa kemia shule ya secondary huko maporiniDuuuuh! Tunaongoza EA kwa sasa! Wacha tu nchi majirani watutenge maana tunasambaza hili gonjwa makusudi sasa! Kama hatuchukui hatua proven na WHO na wataalamu wabobezi maana yake tunafanya makusudi mazima kulisambaza!
Hiki kiburi sijui kinatoka wapi! Ewe Mola wetu tuepushe na balaa hili.
Chukua tahadhari ujikinge wewe na uwapendao acha porojoyaani we jamaa hamnazo kabisa, serikali yako haipimi mtu akiwa mzima lakini inapima mtu akishakufa na inazuia mwili, sasa jiulize maiti zilizozuiliwa na serikali ni ngapi mpaka sasa, mtaani kwetu zilizuia 2 na hata ndugu hawakuruhusiwa kuona mwili
Ulichoandika umekisoma?yaani we jamaa hamnazo kabisa, serikali yako haipimi mtu akiwa mzima lakini inapima mtu akishakufa na inazuia mwili, sasa jiulize maiti zilizozuiliwa na serikali ni ngapi mpaka sasa, mtaani kwetu zilizuia 2 na hata ndugu hawakuruhusiwa kuona mwili
chukua hatua jilinde wewe na watu wako wa karibu.Taarifa sahihi na kwa wakati ni muhimu katika vita hii dhidi ya Corona!
CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi wa October, wanashusha idadi ya vifo na kuongeza idadi ya waliopona ili watanzania waone corona covid 19 siyo Ugonjwa wa kutosha waendelee kukaa vijiweni vibarazani kwa vikundi mikusanyiko waambukizane kwa bidii wafe kwa wingi ili WHO watoe msaada wa pesa nyingi kwa Serikali ya CCMWanavaa suti kumbe wanadanganya umma siyo?
Mkuu, tujionee huruma basi, ikiwa hivyo utapata wapi sasa wakukupigia Kura mkuu, mambo yasiyofaa kuwekwa kwenye siasa za kijinga ni kuombea vifo viongezeke sio Tu vifo hata maambukizi piaUbishi lazima death rate itakuwa zaidi ya elfu kumi kama kama tutaenda na takwimu sahihi
Waziri wa Afya kakwepa Lawama baada ya kupita mitandaoni na kugundua watanzania wanajua taarifa zake huwa ni za kutengeneza, kawa Mjanja kaamua kumtupia mpra waziri mkuu ambaye akiingia mitandaoni atajutia kauli zakechukua hatua jilinde wewe na watu wako wa karibu.
wenye taarifa hawataki sasa kutoa taarifa utawalazimisha ama ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta!Tuendelee kuchukua tahadhari, ni muhimu sana hata kama unaona ndivyo sivyo ila ugonjwa upo na unaua. Dua ziwe nyingi na kumtegemea Allah pia maana yeye ndio mkadiriaji wa kila jambo